Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Ukiona watu huko ulaya wanalia lia kuwa Roboti zitanyang'anya kazi zao ujue mambo yameiva.Kanizidi mkuu kweli...
Sina hoja hapo kwa kweli....πππππππ
Nimewaza hapa nionaaa ooooh ooooh hii Al ipo kila sehemu. Sasa naungana na wewe
Sema kwa huku kwetu hiyo era ya robotic technology sizani kama itakuja kwa miaka hii..Ukiona watu huko ulaya wanalia lia kuwa Roboti zitanyang'anya kazi zao ujue mambo yameiva.
Ni hivi Robot zinaenda kuleta mapinduzi makubwa duniani.
Tunatakiwa tujipange namna gani tutaishi in the era of Robot technology.
Waafrika huwa tunskuwa wa mwisho sana na hstushtiki tipo tipo tu.
Wenzetu wameisha anza kuunda sera na sheria kuhusu AI Robot sisi sijui tunasubiri nini wakati midude imeisha anza kufanya kazi.
Well saidBado mchoro wa kuchorwa kwa mkono utaendelea kuwa na hadhi yake, ndio maana unaona hata michoro ya zamani huwa inauzwa kwa mamilioni ya Dollar kwenye minada ya kidunia.
Miaka ya mbele, hii michoro iliyochorwa kwa mkono itakuwa na thamani zaidi na itauzwa kwa bei ya juu sana.
Punguza kuangalia movies mkuuAcha kubishana na mtu asiyejua technolojia mkuu..
Kunakitu kwenye AI kinaitwa AoT (algorithms of Thought)
Pia kuna AI waliizuia OpenAI ilikuwa inauwezo wa kuweza kurun algorithm na kujua unafikiri nini ili ikupatie..
Sasa yeye anaweza kufanya hivyo kama anashindwa kujua hata mawazo ya paka wake nyumbni atajua mawazo ya binadamu?
Kuna wakati tukubali kwa sasa machine zitatushinda tu..
Na sasa hivi BIOENGENEERING IMEUNGANA NA AI company na wanacreate watu yaani wanafanya Genetic engeering kwa kufanya cloning ya copy ya binadamu walio hai na mtu kupata double cloned structure
Mkuu kupitia movie hao wazungu wanaficha mambo mengi huko.Punguza kuangalia movies mkuu
Wewe mbona umeelewa mkuu??starring huwa wanafikisha ujumbe ambao wewe unayeangalia maigizo hayo huwezi kuelewa.
THE FUTURE IS REAL!.
Kuna binadamu wajinga sana.yaani kitu kinatengenezwa na binadamu mwenzake alafu anakiona kina akili na uwezo kuliko binadamu.Msomi mmoja aliwahi kusema...
"Asili ya ubongo wa mwana-Adam ni uliojikunja na kujinyongorota ndani ya fuvu la kichwa. Endapo utakunjuliwa unaweza kutoka bara la Amerika mpaka Afrika na kurudi na kwenda tena mara nne! (Yaani round nne)"
Hiyo ni Falsafa na ilikuwa na maana kubwa sana juu ya uwezo ambao anao mwanadamu. Tumejibweteka na hatutaki kushughulisha vichwa. Vyote hivyo unavyosifia vimeundwa na huyuhuyu mwana-Adam kwa karama na uwezo aliojaaliwa na mungu muumba, na ametuahidi tayari mpaka kwenye maandiko yake matakatifu kwamba bado kuna mengi makubwa tunaweza kuyafanya na kuyakamilisha endapo tutatumia ipasavyo bongo zetu.
ila cha kushangaza kuna wapuuzi wachache wa aina yako wanavisifia hivi vitu kwamba vinamzidi mwanadamu wa kawaida uwezo.
Unachekesha sana!
Kwa mawazo aya tuna safari ndefu sana.Mkuu umemuelewa jamaa vizuli hoja yake? Amekupa mfano huu. Binadamu hana uwezo wa kubeba watu elf1 kwa wakati mmoja ila binadam huyo huyo kwakutumia akili yake akatengeneza meli inayo weza kubeba hao watu elf1 kwa wakati mmojaβ¦..au mfano mwingine. binadam hana uwezo wa kugusa nyumba ikabomoka ila binadam huyo huyo Kwakutumia akili yake katengeneza grader kifaa kinachoweza gusa nyumba ikabomokaβ¦.maanayake binadam anao uwezo wa kutengeza kitu ambacho kina uwezo ata kumshida yeye
Hahaaaaa, jibu la kilegendary hilo.Very sad. Ila akili bandia haichongi vinyago
Hii ni update kwa hapa ya tulipo kutoka kwa huyu boss wetu mpya " rafiki yetu" AI.Mfano hii picha nilitumia prompt hii hapa ili kuipata.
"A black woman in a farmer has wearing kanga and blouse written mkulima bora and behind on the there's some vegetables like spinach and tomatoes are crops grain and close to her feet there's hen"
View attachment 2807009
Ni hatari na masikitiko kwa kweli πKuna binadamu wajinga sana.yaani kitu kinatengenezwa na binadamu mwenzake alafu anakiona kina akili na uwezo kuliko binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama mtu anasifia hizi AI kuwa na akili sana (kuliko yeye) huyo ana tatizo, nadhani inapaswa kutoa elimu upya kuwa hizi AI zinachakata mambo ambayo binadamu anayo akilini mwake....ila cha kushangaza kuna wapuuzi wachache wa aina yako wanavisifia hivi vitu kwamba vinamzidi mwanadamu wa kawaida uwezo ...
Kuna kitu unachanganya hapa.Bado mchoro wa kuchorwa kwa mkono utaendelea kuwa na hadhi yake, ndio maana unaona hata michoro ya zamani huwa inauzwa kwa mamilioni ya Dollar kwenye minada ya kidunia.
Miaka ya mbele, hii michoro iliyochorwa kwa mkono itakuwa na thamani zaidi na itauzwa kwa bei ya juu sana.
zipo CNC zinachonga kilakitu.Vinyago vya mbao sio midori
Huyu Mona Lisa nilimuona African Art Gallery. Picha zina bei balaaa, ya bei ndogo niliyoiona ni $211.Hii ni picha iliyochorwa kwa mkono zaidi ya karne kadhaa, artificial intelligence bado itakuwa na kibarua cha ziada kuweza kufuta karama ya uchoraji.View attachment 2807021