JosephNyaga
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 291
- 232
Huyu mwanaume au mwanamke ? Au na wanaume wapo wanaotumia ?
Huo muunguzo ni balaa unaweza badili hata jinsia
Mbona wengi wanatumia na wako poa tu... hiyo ilikuwa bahati mbaya yake.Mmmh hatari...urembo noma...
Ewe dada kama bado hujatumia dawa hizi jua kwamba bado hujachelewa, na pia kwa wale wadada wanaotumia dawa za uongeza makalio yao wakiamini kuwa ndio wataonekana wazuri na kuwavutia wanaume, au labda haujatumia ila unafikiria kutumia siku moja,angalia hapa alafu utapata jibu utumie au ubaki na maumbile yako ya halisi.
View attachment 162757
Huu ni mfano tu wa makalio yaliyoungua na kuoza baada ya kukuzwa na mchina.