Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Yaani Simba unaiweka kundi la kundi Changa pamoja na Utopolo?
Yaani Simba unaiweka kundi la kundi Changa pamoja na Utopolo?
HatujamaliizaaaaWanasimbaaaaaaaa,
Hii ndio formula inaenda kumfukuzisha kazi Nabi jumapili hii. Kama intensity ya wachezaji wetu ikiwa juu kwa dk 90 mtaona wanavyopoteana!
Last game walipoteana Zoran akavuruga game mwenyewe!
Sasa angali hili chama uniambie Uto anachomokea wapi ......
1) Manula
2) Israel
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanuti
7) Okra
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Sakho
Benchi
Beno, Kennedy, Banda, Quattara, Mkude, Okwa, Boko, Kapama, Kyombo
Sub
Okra or Sakho pending on performance ampishe Banda.
Kama Uto waki switch kutumia winga zao (like last deby Zoran alivyopotea) tutatoa winga aingie Kennedy ili tucheze na back 3!
Uto wakichomoka hapa nimekaa paleeeeeee! Wanasimbaaaaaaaaa!
Mikono iko mfukoni hana wasiwasi..alivyo sasa hata goli likifungwa wala hashangiliiWakati huo Gadiola Chinenee ana stick ya meno mdomoni ana ngo'oa ng'oa albaki albaki za nyama kwenye meno[emoji123]
Yaani kocha afukuzwe kwa kufungwa mechl moja ?Wanasimbaaaaaaaa,
Hii ndio formula inaenda kumfukuzisha kazi Nabi jumapili hii. Kama intensity ya wachezaji wetu ikiwa juu kwa dk 90 mtaona wanavyopoteana!
Last game walipoteana Zoran akavuruga game mwenyewe!
Sasa angali hili chama uniambie Uto anachomokea wapi ......
1) Manula
2) Israel
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanuti
7) Okra
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Sakho
Benchi
Beno, Kennedy, Banda, Quattara, Mkude, Okwa, Boko, Kapama, Kyombo
Sub
Okra or Sakho pending on performance ampishe Banda.
Kama Uto waki switch kutumia winga zao (like last deby Zoran alivyopotea) tutatoa winga aingie Kennedy ili tucheze na back 3!
Uto wakichomoka hapa nimekaa paleeeeeee! Wanasimbaaaaaaaaa!
Hilo kombe la Dar es Salaam tu hamjawahi kushinda nyie utopoloMkitaka Kuwa Kama Wydad Au Al Ahly Chukueni Ubingwa, Hakunaga Kombe La Robo Fainali Huko CAF, Vinginevyo Nyie Ni Washiriki Tu Kama Washiriki Wengine Mzee, Na Siku Mtakayokuwa Ni Bora Kuizidi Yanga Hapa Tz Ni Kushinda Taji Ambalo Yanga Haijawahi Kushinda Vinginevyo Nyie Bado Ni Maboya Tu Kwa Yanga [emoji28]
Kwa taarifa yako; katika timu ambazo Yanga huwa anajipigia kiulaini ndani ya hii misimu miwili, basi ni hii timu yako ya Mbumbumbu fc! Hata mumpange kocha wenu Mgunda na Matola, bado mtafungwa tu.Wanasimbaaaaaaaa,
Hii ndio formula inaenda kumfukuzisha kazi Nabi jumapili hii. Kama intensity ya wachezaji wetu ikiwa juu kwa dk 90 mtaona wanavyopoteana!
Last game walipoteana Zoran akavuruga game mwenyewe!
Sasa angali hili chama uniambie Uto anachomokea wapi ......
1) Manula
2) Israel
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanuti
7) Okra
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Sakho
Benchi
Beno, Kennedy, Banda, Quattara, Mkude, Okwa, Boko, Kapama, Kyombo
Sub
Okra or Sakho pending on performance ampishe Banda.
Kama Uto waki switch kutumia winga zao (like last deby Zoran alivyopotea) tutatoa winga aingie Kennedy ili tucheze na back 3!
Uto wakichomoka hapa nimekaa paleeeeeee! Wanasimbaaaaaaaaa!
Wanapenda sana kujitoa ufahamu. Wameshasahau kwenye Ngao ya Jamii msimu uliopita, huyo Zoran hakuwepo!Mnajificha kwenye kichaka cha zolan nyie pimbi, mechi zote mlizobutuliwa uyo zolan ndo alikuwa kocha?
Halafu mabeki waobwa kati ndiyo wale wale Inonga na Onyango! πKiungo mzamiru na mcheza rafu kanuti!!! Bado mnaamini mtaizuia yanga!!
Kila siku nawaambia Hawa mashabiki wa Simba kuwa Yanga sio timu nyepesi kama wanavofikiria.Jana kwa mara ya kwanza nilipata kuhudhuria mazoezi ya Yanga pale Avic, niliangalia kwa umakini mno, kwa jinsi nimeona niseme wazi tu, Simba wana mlima mrefu mno siku ya Jpili.
Yanga wameyafanyika kazi mapungufu hasa ya Kaunta, nimeona vile timu ilivyokuwa inaandaliwa kukaba kwa maeneo ili kuziba mianya ya mpinzani.
Pia niliona kwa jicho pevu kuwa Aziz Ki anaandaliwa awe anacheza huru uwanjani yaan free role player, akijaribu kuelekeza namna gani pasi zake zinaenda kwa kuangalia mwendo wake.
Nimeona pia mazoezi mengi mno kwa Mayele hasa magoli ya Vichwa, hii nadhani safari hii watatumia sana Krosi kwenye kupita na kwa wastani watatumia Penetrarion passes kutokea katikati ambapo kwa jinsi walikuwa wanacheza unaona wamejiandaa kutumia nguvu kubwa na kasi ya ajabu.
Niseme wazi, na narudi tena hapa, Simba ana mlima mrefu mno wa kupata matokeo game na Yanga hiyo Jpili. Kwa nilivyoona nimegundua mpira sio uchawi ni ufundi tu ambao unaonekana wazi.
Siku njema.
Kuumiza?? Mechi ipi hiyo mkuu??Kama Simba atatumia winga zenye kasi atazuia mashambulizi ya yanga maana siku zote wanatumia beki mbili na tatu kuanzisha mashambulizi pia waumize nyota wa Simba kama walivyozoea
Za ndaaaaaani nasikia Nabi anataka kwa mara ya kwanza kucheza kwa counter ili kuzuia goli la mapema lakini pia ndio mbinu anataka kuijaribu for international games.Kama Simba atatumia winga zenye kasi atazuia mashambulizi ya yanga maana siku zote wanatumia beki mbili na tatu kuanzisha mashambulizi pia waumize nyota wa Simba kama walivyozoea
Gadiola ni hatari tupu.Mikono iko mfukoni hana wasiwasi..alivyo sasa hata goli likifungwa wala hashangilii
Huu ujinga huwa mnautoa wapi?? Mgunda ameshinda dhidi ya YANGA mara 1 tu. Sasa inashangaza kuonekana MGUNDA anaimudu Yanga. Nabi na Mgunda wamekutana Mara 5, Nabi ameshinda mara 4 na Mgunda 1. Hiyo unayosema hakuna kocha anayemuweza Nabi kama Mgunda, unazungumzia kwa takwimu zipi??Za ndaaaaaani nasikia Nabi anataka kwa mara ya kwanza kucheza kwa counter ili kuzuia goli la mapema lakini pia ndio mbinu anataka kuijaribu for international games.
Akicheza kama alivyozoea game nyingi hachomoki! Hakuna Kocha anayejua mbinu za Nabi kama Mgunda! Kupunguza kipigo labda acheze kujilinda na counter!