Angalia jinsi Kocha Nabi atavyofukuzwa kazi Jumapili!

Angalia jinsi Kocha Nabi atavyofukuzwa kazi Jumapili!

Jana kwa mara ya kwanza nilipata kuhudhuria mazoezi ya Yanga pale Avic, niliangalia kwa umakini mno, kwa jinsi nimeona niseme wazi tu, Simba wana mlima mrefu mno siku ya Jpili.

Yanga wameyafanyika kazi mapungufu hasa ya Kaunta, nimeona vile timu ilivyokuwa inaandaliwa kukaba kwa maeneo ili kuziba mianya ya mpinzani.

Pia niliona kwa jicho pevu kuwa Aziz Ki anaandaliwa awe anacheza huru uwanjani yaan free role player, akijaribu kuelekeza namna gani pasi zake zinaenda kwa kuangalia mwendo wake.

Nimeona pia mazoezi mengi mno kwa Mayele hasa magoli ya Vichwa, hii nadhani safari hii watatumia sana Krosi kwenye kupita na kwa wastani watatumia Penetrarion passes kutokea katikati ambapo kwa jinsi walikuwa wanacheza unaona wamejiandaa kutumia nguvu kubwa na kasi ya ajabu.

Niseme wazi, na narudi tena hapa, Simba ana mlima mrefu mno wa kupata matokeo game na Yanga hiyo Jpili. Kwa nilivyoona nimegundua mpira sio uchawi ni ufundi tu ambao unaonekana wazi.

Siku njema.
Kwahyo Kwa kutizama Tu mazoezi yao umekuja na hyo conclusion[emoji23]
 
Za ndaaaaaani nasikia Nabi anataka kwa mara ya kwanza kucheza kwa counter ili kuzuia goli la mapema lakini pia ndio mbinu anataka kuijaribu for international games.

Akicheza kama alivyozoea game nyingi hachomoki! Hakuna Kocha anayejua mbinu za Nabi kama Mgunda! Kupunguza kipigo labda acheze kujilinda na counter!
Huu ujinga sijui nani anawadanganyaga?
 
Utakuwa ni upumbafu sasa, mtu kawapa ubingwa kama sikosei mara 2 halafu afukuzwe kisa mashindano makubwa/shirikisho, kwahiyo wanaimani bado watapenyeza!! [emoji16]

Matimu makubwa kama al ahly, zamalek, Wydad Casablanca, Raja, Esperance na mamelody hizi timu hata zisipofanya vizuri na kocha akatimuliwa ni jambo la kawaida sana ukizingatia ni timu kubwa, ila kwa timu changa kama simba na yanga mhhh, aise watafanya makosa sana if watamfukuza profesa nabi. Na hawatapata kocha anaeupiga mwingi kama NABI.
Tafadhali anzisha Uzi wako halafu it'a watu Wenye akili mchambue soka. Huku utakutana na Mbulura washangiliaji wasiojua A wala Be.
 
Yanga walivyoamua kutumia winga 2nd half akatepeta akashindwa kufunga njia! Upo uwezekano Yanga akacheza kwa kuvizia ambao hawajawahi kucheza ili kuvuruga mpango wa Simba lakini pia kujaribu hizo mbinu kwaajili ya International games! Hapo game itakuwa ngumu, ila akifunguka kama kawaida yake hachomoki nimekaa paleeeee!
Hata Yanga queens inawafunga vizuri tu, Simba haina kikosi cha kumsumbua Yanga.
 
Uongozi wa Yanga wanahesabu kama yako.. wakimkosa mechi ya Simba watamsubiri mechi na Club Afikan.. Kiufupi Professor Nabi anacheza ndani ya mtego.. Naye analijua hilo
 
Za ndaaaaaani nasikia Nabi anataka kwa mara ya kwanza kucheza kwa counter ili kuzuia goli la mapema lakini pia ndio mbinu anataka kuijaribu for international games.

Akicheza kama alivyozoea game nyingi hachomoki! Hakuna Kocha anayejua mbinu za Nabi kama Mgunda! Kupunguza kipigo labda acheze kujilinda na counter!
Mgunda na Nabi wamekutana mara ngapi na nani anaongoza kwa kumfunga mwenzake?
 
Utakuwa ni upumbafu sasa, mtu kawapa ubingwa kama sikosei mara 2 halafu afukuzwe kisa mashindano makubwa/shirikisho, kwahiyo wanaimani bado watapenyeza!! [emoji16]

Matimu makubwa kama al ahly, zamalek, Wydad Casablanca, Raja, Esperance na mamelody hizi timu hata zisipofanya vizuri na kocha akatimuliwa ni jambo la kawaida sana ukizingatia ni timu kubwa, ila kwa timu changa kama simba na yanga mhhh, aise watafanya makosa sana if watamfukuza profesa nabi. Na hawatapata kocha anaeupiga mwingi kama NABI.
Usifananisha simba na vitu vya ajabu kama utopolo. Hata malengo ni mbingu na ardhi. Wakati simba analenga kucheza nusu fainali yanga ana target group stage ameshashindwa kule kwa wababe labda akiomba ushauri kwa simba ndio atapewa mbinu za kuingia makundi huku kwa ligi ndogo
Utopolo wa hapahapa tuu no wonder wanatumia nguvu kuuuubwaa kuifunga simba
 
Huu ujinga huwa mnautoa wapi?? Mgunda ameshinda dhidi ya YANGA mara 1 tu. Sasa inashangaza kuonekana MGUNDA anaimudu Yanga. Nabi na Mgunda wamekutana Mara 5, Nabi ameshinda mara 4 na Mgunda 1. Hiyo unayosema hakuna kocha anayemuweza Nabi kama Mgunda, unazungumzia kwa takwimu zipi??
MbumbumbuView attachment 2393638
Mkuu usihangaike na ayo mabox ya umbumbuni labda akabebe wachawi wote wa Tanga ndo anaweza angalau kuambulia sare uyo mgunda wao mbele ya yanga
 
Jana kwa mara ya kwanza nilipata kuhudhuria mazoezi ya Yanga pale Avic, niliangalia kwa umakini mno, kwa jinsi nimeona niseme wazi tu, Simba wana mlima mrefu mno siku ya Jpili.

Yanga wameyafanyika kazi mapungufu hasa ya Kaunta, nimeona vile timu ilivyokuwa inaandaliwa kukaba kwa maeneo ili kuziba mianya ya mpinzani.

Pia niliona kwa jicho pevu kuwa Aziz Ki anaandaliwa awe anacheza huru uwanjani yaan free role player, akijaribu kuelekeza namna gani pasi zake zinaenda kwa kuangalia mwendo wake.

Nimeona pia mazoezi mengi mno kwa Mayele hasa magoli ya Vichwa, hii nadhani safari hii watatumia sana Krosi kwenye kupita na kwa wastani watatumia Penetrarion passes kutokea katikati ambapo kwa jinsi walikuwa wanacheza unaona wamejiandaa kutumia nguvu kubwa na kasi ya ajabu.

Niseme wazi, na narudi tena hapa, Simba ana mlima mrefu mno wa kupata matokeo game na Yanga hiyo Jpili. Kwa nilivyoona nimegundua mpira sio uchawi ni ufundi tu ambao unaonekana wazi.

Siku njema.
Hayo mazoezi walijipima na al hilal au mayele na mwamnyeto? [emoji28][emoji28]
 
Wanasimbaaaaaaaa,

Hii ndio formula inaenda kumfukuzisha kazi Nabi jumapili hii. Kama intensity ya wachezaji wetu ikiwa juu kwa dk 90 mtaona wanavyopoteana!

Last game walipoteana Zoran akavuruga game mwenyewe!

Sasa angali hili chama uniambie Uto anachomokea wapi ......

1) Manula
2) Israel
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanuti
7) Okra
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Sakho

Benchi
Beno, Kennedy, Banda, Quattara, Mkude, Okwa, Boko, Kapama, Kyombo

Sub
Okra or Sakho pending on performance ampishe Banda.

Kama Uto waki switch kutumia winga zao (like last deby Zoran alivyopotea) tutatoa winga aingie Kennedy ili tucheze na back 3!

Uto wakichomoka hapa nimekaa paleeeeeee! Wanasimbaaaaaaaaa!
Mpira ungekua nachezewa mdomoni Tanzania ingekua imeshachukua world-cup Zaid ya kumi
 
Wanasimbaaaaaaaa,

Hii ndio formula inaenda kumfukuzisha kazi Nabi jumapili hii. Kama intensity ya wachezaji wetu ikiwa juu kwa dk 90 mtaona wanavyopoteana!

Last game walipoteana Zoran akavuruga game mwenyewe!

Sasa angali hili chama uniambie Uto anachomokea wapi ......

1) Manula
2) Israel
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanuti
7) Okra
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Sakho

Benchi
Beno, Kennedy, Banda, Quattara, Mkude, Okwa, Boko, Kapama, Kyombo

Sub
Okra or Sakho pending on performance ampishe Banda.

Kama Uto waki switch kutumia winga zao (like last deby Zoran alivyopotea) tutatoa winga aingie Kennedy ili tucheze na back 3!

Uto wakichomoka hapa nimekaa paleeeeeee! Wanasimbaaaaaaaaa!
Afu kocha wa unyamani huja mpa sifa zake. Sema pale kocha anasimama gurdiola mnene nyiee balaa saana lita wakuta utopolo
 
Back
Top Bottom