Angalia jinsi Mhe. Makonda akipiga penalty kwa ufundi mkubwa

Penalty anakosa Mesi mwenye kipaji cha mpira sembuse mkuu wa mkoa ambaye Mara yamwisho kucheza mpira nidarasa LA sita!!!!!
 
Jamaa limelemewa na chura mpaka limebaki na kipa linapiga nnje.... ahahhahahahha

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Ahahahah has hahahaha huu uzi ukifika sasa nne usiku naomba uniite nichangie ipasavyo.


"PAMBANA NA HALI YAKO"
 
Ahahahah has hahahaha huu uzi ukifika sasa nne usiku naomba uniite nichangie ipasavyo.


"PAMBANA NA HALI YAKO"
Poapoa

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Nilidhani ni fainali ya Ndondo cup!!
 
Makonda ni very strategic person... Hiyo ameifanya makusudi kukosa penati ili itengeneze habari.

Na Sasa naona wabongo wameanza kumjadili Makonda tena.


Huyu jamaa unajua namna ya kuandaa saikoloji ya mass ktk matukio makubwa.

Angefunga wala isingekuwa habari ila kwa kukosa naona watu wanatiririka tu ndani mpaka nje ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…