kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,695
- 2,144
Alafu shuti halina afya kabisa. Yani km kapiga mtoto wa miaka 5 . Kukosa penati sio ajabu, ila ajabu namna hiyo penalty ilivypigwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa nini anapenda kuandikwa ? If I may askMakonda ni very strategic person... Hiyo ameifanya makusudi kukosa penati ili itengeneze habari.
Na Sasa naona wabongo wameanza kumjadili Makonda tena.
Huyu jamaa unajua namna ya kuandaa saikoloji ya mass ktk matukio makubwa.
Angefunga wala isingekuwa habari ila kwa kukosa naona watu wanatiririka tu ndani mpaka nje ya nchi.
Kusifiwa ni kawaida kwa watu wa nyota kama yakeNa kwa nini anapenda kuandikwa ? If I may ask
Ile ban imemuathiri kiasi aisee.Ujue huyu jamaa ni kama Rais wa Mkoa Sasa anapoona media zimegoma kuandika habari zake inauma sana kiukweliNa kwa nini anapenda kuandikwa ? If I may ask
DahIle ban imemuathiri kiasi aisee.Ujue huyu jamaa ni kama Rais wa Mkoa Sasa anapoona media zimegoma kuandika habari zake inauma sana kiukweli
Vyeti usicheze navyo mkuu unaweza pungukiwa mpaka nguvu za kiume ile ni laana!Alafu shuti halina afya kabisa. Yani km kapiga mtoto wa miaka 5 . Kukosa penati sio ajabu, ila ajabu namna hiyo penalty ilivypigwa.
Hayo maneno tunayapiga vita sana humu JF.Na kishuzi nacho amekiweka makusudi ili atengeneze habari?
Msambwanda jamani wakati dada zake tumebeba flat screens.
Hahahhahhahaha, huyu Bashite hadhi yake netball tu, jamani sasa penalt gani hiyo jamani ? Halafu eti anashika kichwa baada ya kukosa. Mbavu zangu jamani.
Utaishia kupigana bila ya kushinda, maana tunaongea vitu ambavyo vipo na tunavionaHayo maneno tunayapiga vita sana humu JF.
Hakuna shida mshindi wewe na maneno hayo...Utaishia kupigana bila ya kushinda, maana tunaongea vitu ambavyo vipo na tunaviona