njiwaji
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 289
- 209
WATCH TONIGHT - Lunar Occultation - Moon will hide Saturn today October 14 from 8 pm to 9:30 pm
ANGALIA LEO USIKU - Sayari Zohali kufichwa na Mwezi leo Oktoba 14 kuanzia saa 2 usiku hadi saa 9:30
English version is below the Kiswahili information
Sayari Zohali kufichwa na Mwezi leo usiku Oktoba 14
Tarehe 14 Oktoba usiku saa 2 hadi saa 3:30 tukio la kipekee litatokea wakati sayari ya Zohali (Saturn) itapotelea angani kwa kufunikwa nyuma ya Mwezi katika maeneo ya kwetu na sehemu za kati, kusini ya Afrika.
Kwa watu wa Tanzania tukio linatokea muda mzuri wa jioni ya saa 2 usiku wakati watu wapo majumbani baada shughuli za mchana kwa hiyo watu wengi wataweza kutoka nje na kuangalia angani upande wa mashariki. Ukiangalia kabla ya saa mbili utaona Mwezi ulio mpevu na jirani yake kwa chini wataona sayari Zohali kama nyota isiyomeremeta. Baada ya saa 2 Zohali itafichika kwa kwenda nyuma ya Mwezi.
Kuangalia tukio hili hauhitaji darubini au chombo chochote. Utaweza kufurahia kwa macho pekee.
Zohali itapotea kwa kiasi saa moja na nusu na utaweza kuna ikirudi tena kutoka nyuma ya Mwezi baada ya saa 3 usiku.
===============
Saturn will be hidden behind the Moon on October 14
On the night of 14 October between 8 pm to 9:30 pm Saturn will disappear behind the Moon in central southern and eastern Africa in a rare event called lunar occultation.
The times are best for Tanzania in early evening and everyone can watch the event from before 8 pm as the Moon comes in front of bright steady star which is the planet Saturn.
You don’t need a telescope to follow this event. It can be seen directly with your eyes only.
Saturn will be lost for about one and a half hours and you can observe Saturn reemerging from behind the Moon after 9 pm.
ANGALIA LEO USIKU - Sayari Zohali kufichwa na Mwezi leo Oktoba 14 kuanzia saa 2 usiku hadi saa 9:30
English version is below the Kiswahili information
Sayari Zohali kufichwa na Mwezi leo usiku Oktoba 14
Tarehe 14 Oktoba usiku saa 2 hadi saa 3:30 tukio la kipekee litatokea wakati sayari ya Zohali (Saturn) itapotelea angani kwa kufunikwa nyuma ya Mwezi katika maeneo ya kwetu na sehemu za kati, kusini ya Afrika.
Kwa watu wa Tanzania tukio linatokea muda mzuri wa jioni ya saa 2 usiku wakati watu wapo majumbani baada shughuli za mchana kwa hiyo watu wengi wataweza kutoka nje na kuangalia angani upande wa mashariki. Ukiangalia kabla ya saa mbili utaona Mwezi ulio mpevu na jirani yake kwa chini wataona sayari Zohali kama nyota isiyomeremeta. Baada ya saa 2 Zohali itafichika kwa kwenda nyuma ya Mwezi.
Kuangalia tukio hili hauhitaji darubini au chombo chochote. Utaweza kufurahia kwa macho pekee.
Zohali itapotea kwa kiasi saa moja na nusu na utaweza kuna ikirudi tena kutoka nyuma ya Mwezi baada ya saa 3 usiku.
===============
Saturn will be hidden behind the Moon on October 14
On the night of 14 October between 8 pm to 9:30 pm Saturn will disappear behind the Moon in central southern and eastern Africa in a rare event called lunar occultation.
The times are best for Tanzania in early evening and everyone can watch the event from before 8 pm as the Moon comes in front of bright steady star which is the planet Saturn.
You don’t need a telescope to follow this event. It can be seen directly with your eyes only.
Saturn will be lost for about one and a half hours and you can observe Saturn reemerging from behind the Moon after 9 pm.
Weiterleitungshinweis
www.google.com