Una kichwa cha panzi na wewe. Mktaba wa DP world main content ni protection contract........kulinda maslahi ya investment zao. Na mkataba wowote kitu cha kwanza ni ku protect interest za investors ndiyo mambo mengine yafafuatia....................wajibu wote uko kwetu (protection o their interest) , haki zote kwao (no protection of our interest).Sasa unataka tulinganishe na Investment Protection Contract ipi?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
sasa hivi mnamkumbuka magu simlikuwa mnamtukana mpaka mze3e wa watu akaondoka ? mwacheni apiumzike tesekeni wenyeweUna kichwa cha panzi wallah! 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Ebu niandikie senstensi hii kwa kiingereza nikupime (usiombe msaada): kama ingelikuwa siyo ujio wa magufuli, watu wote walianza kukata tamaa kuwa nchi hii ingelikuwa imeuzwa yote😀😀😀😀🙄🙄🙄🙄🙄🙄😳😳😳😛😛😛😳
Ebu soma protocol 2 (a) and (b) ulinganishe na masuala ya kodi kwenye mkataba wa Tanzania.Mnacomment bila hata kuusoma msichotaka ni migogoro kwenda kusuluhishwa na third part na hapo mbona mkataba huu ulioleta tena wa mwaka 90 na wamesema wazi migogoro itaenda kushughlikiwa kwenye mahakama ya kimataifa nje ya sweden au emirati na wahusika kwenye hio mahakama ikiwemo wanatoka katika nchi hizi zinazoingia mkataba hawataruhusiwa kusuluhisha kwenye arbitration atateuliwa mwingine. Mbona imefanana tu na huu. Japo umesema muda ni miaka 20 hata huu wetu hicho kinarekebishika kiufupi lugha ni ile ile na huu wetu.
Ukishasema unakataa kwenda london lakini ila unakubali kwenda tribunal sasa si kilekile tu makao makuu ya tribunal ni huko ni sawa tu na kukubali kutumia englosh common lawa na pia ni sawa na umekubali kwenda London sasa toka lini ukawa refa wewe mchezaji wewe lazima refa awe neutral kama kweli unaconfidence na hauna nia mbaya dhidi ya mwekezaji kwa nini ukatae .Wewe hujui kiingereza vema. Soma between lines: Arbitration inaanzia kwenye partner states. Wanakaa wanajadiliana kwa kuchagua watu wao mmoja kila upande. Wakishindwana, Then wanatafuta mwenyekiti third party ambaye watamkubali wote. Wakishindwana hapo, wanakwenda ICSDI, ambayo hatukatai, bali tunakataa kwenda London!
Na kama sheria zetu zinakataza kwenda kusuluhisha mambo ya rasilimali zetu mahakama za nje, hawakupashwa kuingia mkataba huo. Hivyo huo likataba lao ni BATILI AS LONG AS IT DOES NOT TALLY WITH OUR INTERNAL LAWS, MAHAKAMA ILIPASHWA UIKATAE.
Sijui kama unanielewa
Wanamajibu ya ajabu, utaambiwa sisi tumesaini na Dubai na si UAE hivyo haviusiani!!!aliye dictate terms kwa mwenzake!
Si kweli Hata kidogo.Uafrika hasa utanzania ni laana.
Kwa Tume ya uchaguzi ilivyo - sahau hayoWananchi wamesema sana kwamba IGA yetu ni ya upande mmoja. Ushauri wa wazee wa CCM ka.a akina Butiku na Waryoba hawataki kuusikia wala kufuata. Sasa wanaenda kufuta sheria ya ulinzi wa rasilimali zetu badala ya sheria hiyo kuiweka kwenye katiba ya nchi kama tulivyofanya kwenye ile sheria ya kuhamishia Dodoma makao makuu ya nchi.
Madhara yake yatakuwa makubwa kwa CCM, mwaka 2025 haitakuwa rahisi kwao kushinda uchaguzi mkuu. Huu ndiyo ukweli, ccm imeamua kujimaliza (committee suicide) yenyewe. Wahenga walisema ngoma ikilia sana hupasuka yenyewe. Hatupendi hili litokee.
Hahaaaaa ni jina halisi tu la mtu hilo kama majina mengine vile Mtu anaitwa Upendo mwingine Mawazo au mwingine Bahati ni majina yetu ya kibantu hayo.Unashika nini??
Kwani mkuu si kelele nyingi vipengele hasa cha ukomo virekebishwe wenye mamlaka wasikivu wataboresha sawa watakuwekea ukomo miaka 20 au 30 ili amani uipate viongozi wetu wasikivu mkuu ikiwa hivyo si inakuwa salama mkuu au bado inakuwa hopeless. Maana msingi sio kutaja huo muda msingi kuwa na kukubaliana kuwa na mapitio kila baada ya muda ili mqmbo hayaendi mnaachana lakini mkuu wewe unataka tujicommit mpaka miaka ifike 20 au 30 wakati tukiweka mapitio ya kila miaka 4 au 5 inakuwa salama zaidi tumeshindwana tunachana kwa heri kabisa na tunashake hands.Kwa hiyo katika akili yako, unaona wazi kabisa huu mkataba wetu ulitengenezwa ili ukarekebishwe?
Hizi ni akili za wapi hizi?
Umetoa povu lote lile kusifia kipande hicho cha mahakama ya nje, halafu unajifanya hicho cha muda ilikuwa kazi kubwa sana kwa wanasheria kukiwekea maanani wakijua kutafanyika maerkebisho!
Hopeless Kabisa!
Hapo mwisho umeuliza swali na mimi na kujibu kwa kukuuliza swali pia je ukisaini mkataba na tanesco umeingia mkataba na tanesco au na nchi ya Tanzania pia.Kwani hapo wamesema wanawekeza kwenye nini? Sisi tunatetea sheria yetu ya Ulinzi wa Mali Asili za nchi ya mwaka 2017 inasema.
1. Mikataba yoyoteinayohusu Rasimali Asili za Taifa itakayosainiwa na serikali lazima ikaidhinishwe na Bunge.
Kipengere hiki kinaenda kinaondolewa automatic na Mkataba huu wetu na Dubai cos mkataba umetamka mikataba hiyo itakuwa ni siri, na ndiyo maana serikali inapeleka marekebisho Bungen mwezi 9 kifungu hicho kinaenda kueditiwa mikataba iishie kwenye Baraza la Mawaziri.
Historia ya uwepo wa kifungu hiki inatokana na mikataba ya madini iliyosainiwa huko nyuma mpaka kuja kufukuzana na Acacia Mining cos ilikuwa mikataba mibovu kwaiyo kipindi hiko ikaona iweke kipengere hicho ili umma ujie Viongozi wao wanafanya nini katika rasimali zao.
2. Sheria pia inasema migogoro yoyote inayohusu Rasimali asili za nchi itasuruhishwa katika mahakama zetu za ndani.
*Sheria inasema hivi alafu waliosaini mkataba wamesaini usuruhishi ufanyike Africa Kusini! Hii ni kinyume na sheria zetu na ndiyo maana umeona Mahakama inasema imekubaliana na walalamikaji juu mkataba huu kuvunja sheria zetu.
Kwaiyo tunaotetea, tunatetea kwa mujibu sheria yetu inavyotaka.
Huo mkataba wa Sweden na UAE wala haujaelekeza Kampuni fulani ndiyo inaenda huku tu! Na ndiyo mkataba wa ushirikiano kati ya nchi na nchi na ndiyo maana haujaweka eneo specific kama Bandari etc.
Ila we tu una maeneo specific kabisa na kampuni imetajwa kabisa, sasa jiulize tumesaini mkataba wa ushirikiano kati ya nchi na nchi au nchi na kampuni?
Uko sahihi, wataleta ujinga kama huo! Wanasahahu kuwa The point we want to establish is that: Both sides have safeguarded their interests. The contract is structured in such a way neither of the two is a whole taker and the other is a whole looser as it is in DP World contract!Wanamajibu ya ajabu, utaambiwa sisi tumesaini na Dubai na si UAE hivyo haviusiani!!!
Hapo mwisho umeuliza swali na mimi na kujibu kwa kukuuliza swali pia je ukisaini mkataba na tanesco umeingia mkataba na tanesco au na nchi ya Tanzania pia.
Tanesco anatumia sheria za Tanzania and secondly, Tanesco is a wholly government-owned company! Chochote anachokifanya Tanesco anatumwa na Tanzania. Therefore umeishitaki Tanzania kupitia Tanesco because at the end of the day Tanzania government will bear the costs if it is a loser!Hapo mwisho umeuliza swali na mimi na kujibu kwa kukuuliza swali pia je ukisaini mkataba na tanesco umeingia mkataba na tanesco au na nchi ya Tanzania pia.
asante sana. HGA ndizo tanesco atasign kwa utekelezaji wa miradi ndani ya IGA! na huyo investor from abroad lazima katika mkataba Tanzania will feature as authorizing to Tanesco to sign the contract on its behalf! I stand to be correctedUmeingia mkataba na Tanesco.
Ila jua IGA ni Intergovernmental Agreement
nakwambia mkataba wa DP world una fatures zote za protection ya waarabu na pesa zao bila protection ya service za tanzania, ni kwa vile una kichwa cha panziSasa unataka tulinganishe na Investment Protection Contract ipi?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Uko sahihi watasema hivyo. wanashau kuwa Issue hapa ni protection ya interest za Tanzania, not location of the contracting partiesWala posho za hashtag ya DP world watakwambia huko ni Sweden na huku ni Tanzania tuna taratibu zetu kweny mikataba!!