Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh huyo mrisho mpoto havai viatu,inamaana mtu ukiwa mzalendo viatu huvai?
anafanya maigizo tu huyo...
Watu wameshapiga mkwanja wa maana hapa..
Hivi Mwana FA hua ananyoa nyusii auu yaan sijui yupojee
Hivi Mwana FA hua ananyoa nyusii auu yaan sijui yupojee
maigizo ya kitoto na ya kijinga,how can a celebrity appear that way?eti uzalendo,idiot him
Hivi Mwana FA hua ananyoa nyusii auu yaan sijui yupojee
Mpoto amevaa gauni?
Mrisho mpoto ndo alivyo huwa anatembea peku hadi barabarani.
Anasema ni muhimu mwili kugusana na ardhi.
Mpoto amevaa gauni?
mmh huyo mrisho mpoto havai viatu,inamaana mtu ukiwa mzalendo viatu huvai?
Ukivuta bange muda mrefu na akili inapinda.