Angalia picha ya nyumba hii toa ushauri

Ramani imetulia

Inachukua Ukubwa kiasi gani wa eneo?

Hii Kwa sisi wastaafu inaweza kutufaa kwaajili ya kujenga vi-apartiments
Mstaafu ikiwa unaishi na mwenza tu na hauna ndugu yeyote atakaye kuja kwako na kuhitaji hifadhi hata ya siku moja mkuu.
itakufaa.
Lakini hata kama una.kajukuu tu HAIKUFAII
 
Mstaafu ikiwa unaishi na mwenza tu na hauna ndugu yeyote atakaye kuja kwako na kuhitaji hifadhi hata ya siku moja mkuu.
itakufaa.
Lakini hata kama una.kajukuu tu HAIKUFAII
Umesema sahihi Mkuu, japo lengo langu nivijenge kama apartments za kupangisha ama Vihotel kwaajili ya Wageni (airBnB)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…