Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
1. Kushambuliwa kwa Lissu: Kimya mpaka sasa mwanzo Lissu akiwa Ubelgiji walisema hatoi ushirikiano. Sasa Lissu yupo na amewataja kwa majina wabaya wake lakini serikali kimya hakuna hata panya aliyekamatwa.
2. Kutekwa na jaribio la kumuua Sativa: Waziri mwenye mashavu makubwa kasema eti Sativa hatoi ushirikiano. Jiulize upi wakati keshawataja wahusika? Mpaka sasa kimya
3. Kutekwa Deus Soka na wengine mpaka sasa kimya
4. Kuuawa kwa mzee Kibao mpaka sasa kimya
5. Kutekwa kwa Benny saa nane na kupotea na wenzake waliotekwa enzi za jiwe mpaka leo kimya
6. Kuuawa kwa Akwilina kwa risasi za polisi. Mpaka sasa kimyaaa
7. Kuuawa kwa Mawazo
Kwa ufupi matokio yote hapo juu haywezi kuchunguzwa na serikali na kutoa majibu kwakuwa yenyewe ndiyo mtuhumiwa mkuu. Mhalifu hawezi kujichunguza na kujichukulia hatua. Hapo inahitajika vyombo huru kabisa vya kimataifa kuchunguza na sio serikali hii ni kupoteza muda.
Lakini angalia uharaka wa serikali kwenye matukio haya:
1. Kijana kachora mwenyewe picha ya rais kisha kaichana akakamatwa na kuhumiwa haraka kwa muda usiozidi wiki 2
2. Mchungaji alikuwa anapinga kuuzwa kwa bandari haraka haraka kahukumiwa na kufungwa kwa kuendesha kanisa bila usajili lakini kina Suguye walipewa muda wa kusajili na baa iliyokuwa haina keseni ilifungiwa ili isajili keseni lakini wakurugenzi hawakushitakiwa wala kufungwa. Hiyo ndiyo Kusadikika chini ya mtawala kutoka ng'ambo
2. Kutekwa na jaribio la kumuua Sativa: Waziri mwenye mashavu makubwa kasema eti Sativa hatoi ushirikiano. Jiulize upi wakati keshawataja wahusika? Mpaka sasa kimya
3. Kutekwa Deus Soka na wengine mpaka sasa kimya
4. Kuuawa kwa mzee Kibao mpaka sasa kimya
5. Kutekwa kwa Benny saa nane na kupotea na wenzake waliotekwa enzi za jiwe mpaka leo kimya
6. Kuuawa kwa Akwilina kwa risasi za polisi. Mpaka sasa kimyaaa
7. Kuuawa kwa Mawazo
Kwa ufupi matokio yote hapo juu haywezi kuchunguzwa na serikali na kutoa majibu kwakuwa yenyewe ndiyo mtuhumiwa mkuu. Mhalifu hawezi kujichunguza na kujichukulia hatua. Hapo inahitajika vyombo huru kabisa vya kimataifa kuchunguza na sio serikali hii ni kupoteza muda.
Lakini angalia uharaka wa serikali kwenye matukio haya:
1. Kijana kachora mwenyewe picha ya rais kisha kaichana akakamatwa na kuhumiwa haraka kwa muda usiozidi wiki 2
2. Mchungaji alikuwa anapinga kuuzwa kwa bandari haraka haraka kahukumiwa na kufungwa kwa kuendesha kanisa bila usajili lakini kina Suguye walipewa muda wa kusajili na baa iliyokuwa haina keseni ilifungiwa ili isajili keseni lakini wakurugenzi hawakushitakiwa wala kufungwa. Hiyo ndiyo Kusadikika chini ya mtawala kutoka ng'ambo