Angalia Utongozaji wa Siku Hizi


duh cpati picha alivyokuwa anajitahid kujipaisha........kaaaaaazi kweli kweli
 

I like that! Point blank!! Mwanamke mzuri matunzo yake ni gharama! Kwa hiyo ukipenda vitu vizuri lazima uwe tayari kuvihudumia pia....!!!
 
Du huyu mDada aniboa kwelikweli na wigi lake hivi hajashtukia tu hayo maVX ni STK? na wapo viwanja vya Wizarani hapo hakuna mapenzi ni bia 2 guest halafu kesoye hakuna kujuana.
Mapenzi ni yale ya wale wa Foot x Foot hebu nishikie ndoo nifunge nguo yangu (bataje ntunje) wale hawataachana maana wataanzia historia yao kwenye nyasi
 
Mbona kashaanza Kuuma Kucha/vidole hapo Kushnei, jamaa anachekelea kimoyomoyo tu, si unaona tabasamu la kizushi, mdomo pembeni


hapana,somo bado labda aongeze bajaji amwambie hiyo nimekuletea kama mtaji.
 
Hapa hakuna cha maviX wala maviY....Ni full locomtive cartilage (TZ eleven) + Saundi mvua za masika na mzigo ya kila aina inang'oleka kiulaaaniiiiiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…