Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LD ufafanuzi kidogo madude au lidude ha ha haaa!!!!!Mmmh wengine ukija na hayo madude tunatimka mbio, tusijefanywa misukule bureeeee!
Mmmh wengine ukija na hayo madude tunatimka mbio, tusijefanywa misukule bureeeee!
Huyu dada kiboko pamoja na kujiwa na Cruiser mbona kama hajaelewa somo ? hahaha!![]()
magari yote meupe yangu...
Unashangaa nini wakati unaona wazi siku hizi jua linavyopiga balaa.mie mwenyewe shida,nkaongeze tabu za nn.ukija na vx unakuwa tax yangu sipigwi na jua barabarani,kwanini nikukatae?ukitaka kumiliki demu ujue garama zake sio unakuja kichwa kichwa tu.aku babu,uzuri unatunzwa urembo unauzwa barabarani,yanini ukanifubaishe mtoto wa mwenzio!huna vx chukua taimu
Hahahaaaa! Kupigwa na jua!Unashangaa nini wakati unaona wazi siku hizi jua linavyopiga balaa.mie mwenyewe shida,nkaongeze tabu za nn.ukija na vx unakuwa tax yangu sipigwi na jua barabarani,kwanini nikukatae?ukitaka kumiliki demu ujue garama zake sio unakuja kichwa kichwa tu.aku babu,uzuri unatunzwa urembo unauzwa barabarani,yanini ukanifubaishe mtoto wa mwenzio!huna vx chukua taimu
Na huwezi ukawa umeona mabo yote huku duniani, mi mwenyewe hujawahi kuniona.Sijawahi kuona hiyo
LD ufafanuzi kidogo madude au lidude ha ha haaa!!!!!
Hebu apia kama kweli
Habari yake tax driver!Unashangaa nini wakati unaona wazi siku hizi jua linavyopiga balaa.mie mwenyewe shida,nkaongeze tabu za nn.ukija na vx unakuwa tax yangu sipigwi na jua barabarani,kwanini nikukatae?ukitaka kumiliki demu ujue garama zake sio unakuja kichwa kichwa tu.aku babu,uzuri unatunzwa urembo unauzwa barabarani,yanini ukanifubaishe mtoto wa mwenzio!huna vx chukua taimu
Huyu dada kiboko pamoja na kujiwa na Cruiser mbona kama hajaelewa somo ? hahaha!
![]()
magari yote meupe yangu...