Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Wanataka kusingizia kuwa ndio chanzo cha Umasikini, ufisadi, wizi, uzinzi, utesaji na kutotimiza, wajibu.hayo mateso sio waafrica tu waliopitia ni race zote sema waafrica wanadeka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka kusingizia kuwa ndio chanzo cha Umasikini, ufisadi, wizi, uzinzi, utesaji na kutotimiza, wajibu.hayo mateso sio waafrica tu waliopitia ni race zote sema waafrica wanadeka sana.
ndio,hata wazungu na wa asia washapigwa matukio ya kikatili kama hayo,lakini weusi ndio wanakelele.bado pia nchi za Africa zinajitawala na bado wanafanyiana ukatili wa kupindukia.ipo hivyo mkuu.Wanadeka..?
Huo ndio ukweli. Hata wasio waafrika nao walifanyiwa hivyo hivyo.Ni kweli wa Africa tuliteseka, ila adhabu za kikatili hizo karne zilikuwa hazibagui, ilikuwa kwa watu wote
Noted, ila katika jamii zote waliopata kibano sana ni waafrika nadhani lesi yetu imetapakaa sana duniani kutokana na kuchukuliwa kama watumwa, hao wengine ni kidogo sana.ndio,hata wazungu wa asia washapigwa matukio ya kikatili kama hayo,lakini weusi ndio wanakelele.bado pia nchi za Africa zinajitawala na bado wanafanyiana ukatili wa kupindukia.ipo hivyo mkuu.
Tuongeze maarifaHey!
Unajua chochote kuhusu .
stellam matutinam?
Sahvi yenyewe tunapeana kibanondio,hata wazungu wa asia washapigwa matukio ya kikatili kama hayo,lakini weusi ndio wanakelele.bado pia nchi za Africa zinajitawala na bado wanafanyiana ukatili wa kupindukia.ipo hivyo mkuu.
kuna jamaa waasi wapo hapo Congo,wakivamia kijiji wanauwa watu kwa kuwadidimiza mti wenye ncha kali kuanzia mqunduni unatokea utosini,alafu ule mti unachomekwa kwenye ardhi maiti ananing'inizwa juu mfano wa msalaba.Sahvi yenyewe tunapeana kibano
Wenyewe kwa wenyewe
Ova
😭No comments
😭😭kuna jamaa waasi wapo hapo Congo,wakivamia kijiji wanauwa watu kwa kuwadidimiza mti wenye ncha kali kuanzia mqunduni unatokea utosini,alafu ule mti unachomekwa kwenye ardhi maiti ananing'inizwa juu mfano wa msalaba.
Nani kakumbia siku hizi hakuna adhabu kama hizo? Tena zipo adhabu mbaya zaidi. Soma kitabu cha Mdude Nyagali uone mateso aliyopitia chini ya watu weusi wenzake. Na siyo hilo tu. Leo hii anza kuisema serikali na viongozi wake kwa kuonyesha makosa yao au ufisadi usipojikuta kwenye mateso makali kuliko hata haya. Mbona yule mbunge aliingiza chupa kwenye sehemu ya haja kubwa ya kijana kule Babati? Ni hali imebadilika tu kuwa sasa mwafrika ndiye anamtesa mwafrika mwenzake.View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.
Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.
View attachment 2934305
Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.
Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.
Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.
Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
kanishangaza sana mwafrika mwenzangu kitu kilikuepo ancient rome kilipotumika tu kwa mwafrika inferiority complex ikaingiaNi kweli wa Africa tuliteseka, ila adhabu za kikatili hizo karne zilikuwa hazibagui, ilikuwa kwa watu wote
Umegonga penyewe. Post yangu ya juu niliandika kabla sijaona comment yako. Na mimi nimemwambia hivyo hivyo. Tena hawa weusi wenzetu ni makatili kuliko hata hao wageni wa enzi hizo.Kwa sasa tunafanyiwa haya na wenzetu hakuna tofauti
Mimi nawaza mwisho wa muafrica huyo sijui hata kama alikuwa anaelewa kilichokuaa kinampata. Kuna muda huwa sitamani kuwasamehe hawa mabwana ila basi tuuinafikirisha sana, lakini binadamu aina na muundo wa maishatuliochagua wa kwenda nao unatupa gharama sana.
KabisaUmegonga penyewe. Post yangu ya juu niliandika kabla sijaona comment yako. Na mimi nimemwambia hivyo hivyo. Tena hawa weusi wenzetu ni makatili kuliko hata hao wageni wa enzi hizo.
Aisee!!!kuna jamaa waasi wapo hapo Congo,wakivamia kijiji wanauwa watu kwa kuwadidimiza mti wenye ncha kali kuanzia mqunduni unatokea utosini,alafu ule mti unachomekwa kwenye ardhi maiti ananing'inizwa juu mfano wa msalaba.