Angalia Waafrika Tulivyopitia Wakati Mgumu Sana

Angalia Waafrika Tulivyopitia Wakati Mgumu Sana

ndio,hata wazungu wa asia washapigwa matukio ya kikatili kama hayo,lakini weusi ndio wanakelele.bado pia nchi za Africa zinajitawala na bado wanafanyiana ukatili wa kupindukia.ipo hivyo mkuu.
Noted, ila katika jamii zote waliopata kibano sana ni waafrika nadhani lesi yetu imetapakaa sana duniani kutokana na kuchukuliwa kama watumwa, hao wengine ni kidogo sana.
 
View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.

Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.

View attachment 2934305

Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.

Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.

Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.

Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
Nani kakumbia siku hizi hakuna adhabu kama hizo? Tena zipo adhabu mbaya zaidi. Soma kitabu cha Mdude Nyagali uone mateso aliyopitia chini ya watu weusi wenzake. Na siyo hilo tu. Leo hii anza kuisema serikali na viongozi wake kwa kuonyesha makosa yao au ufisadi usipojikuta kwenye mateso makali kuliko hata haya. Mbona yule mbunge aliingiza chupa kwenye sehemu ya haja kubwa ya kijana kule Babati? Ni hali imebadilika tu kuwa sasa mwafrika ndiye anamtesa mwafrika mwenzake.
 
inafikirisha sana, lakini binadamu aina na muundo wa maishatuliochagua wa kwenda nao unatupa gharama sana.
Mimi nawaza mwisho wa muafrica huyo sijui hata kama alikuwa anaelewa kilichokuaa kinampata. Kuna muda huwa sitamani kuwasamehe hawa mabwana ila basi tuu
 
Back
Top Bottom