MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #81
Hahahahahahaha Naona umeamua kutia reverse kwenye mwendo sema ukweli ndugu nafsi inakusuta shame on you
Hiii mijitu isiyo jiamini kazi yao kujizarau na kutukuza watu wa mataifa mengine.
Hata kwenye maisha watu kama hawa Kazi yao ni kukatisha tamaa watu.
Sasa mbona kachukua
Mbavu zako wewe nawachukia sana watu wa aina yako.
Huna unacho jua kazi yako kutukuza watu
Unaongea kutafuta sifa tu ila hufahamu kama hujui.
Kutokana na kwamba wengi wetu leo tunajua kuwa Mchezaji wetu anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya Tout Puisant Mazembe Mbwana Samata " POPA " leo atateuliwa kuwa Mchezaji bora huko nchini Nigeria. kwa mtu anayejua mpira na uchambuzi mzuri wa mpira kwa vigezo na sifa fulani fulani Mbwana Samata leo hawezi KUTEULIWA kuwa ni MSHINDI.
Tukutane baadae na kwa wale ambao mtapenda kufuatilia hii sherehe basi hakikisheni ifikapo tu saa tatu ( 3 ) kamili muangalie super sports nine ( 9 ). na kwa taarifa yenu ni kuwa mpaka sasa naandika UZI huu tayari wachezaji 11 watakaochuana yameshatajwa na kila nikiwaangalia hao Wachezaji wenzio ambao ni MAHIRI sioni ni wapi Mbwana Samata ATASHINDA na kinachonichekesha ni kwamba Watanzania wote na hadi media zote za Tanzania bila kusahau humu mitaani watu TUNADANGANYANA kuwa Mbwana Samata atatwaa TUZO hiyo wakati mimi naona ni NDOTO YA ABUNUASI tena ni ya MCHANA kabisa.
Nawasihi tu tujifunze KUANGALIA mambo kwa KINA na kwa UPANA wake.
Aibu yetu au aibu yako?Kutokana na kwamba wengi wetu leo tunajua kuwa Mchezaji wetu anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya Tout Puisant Mazembe Mbwana Samata " POPA " leo atateuliwa kuwa Mchezaji bora huko nchini Nigeria. kwa mtu anayejua mpira na uchambuzi mzuri wa mpira kwa vigezo na sifa fulani fulani Mbwana Samata leo hawezi KUTEULIWA kuwa ni MSHINDI.
Tukutane baadae na kwa wale ambao mtapenda kufuatilia hii sherehe basi hakikisheni ifikapo tu saa tatu ( 3 ) kamili muangalie super sports nine ( 9 ). na kwa taarifa yenu ni kuwa mpaka sasa naandika UZI huu tayari wachezaji 11 watakaochuana yameshatajwa na kila nikiwaangalia hao Wachezaji wenzio ambao ni MAHIRI sioni ni wapi Mbwana Samata ATASHINDA na kinachonichekesha ni kwamba Watanzania wote na hadi media zote za Tanzania bila kusahau humu mitaani watu TUNADANGANYANA kuwa Mbwana Samata atatwaa TUZO hiyo wakati mimi naona ni NDOTO YA ABUNUASI tena ni ya MCHANA kabisa.
Nawasihi tu tujifunze KUANGALIA mambo kwa KINA na kwa UPANA wake.
Unaaaafikiwa kuona aubu nani cleverbright au mwingine? angalia post yangu hapo juu NIMESHAWAJIBU wale CRITICS wangu wote katika huu UZI na labda niseme tu kuwa MISSION yangu imekuwa ACCOMPLISHED na mliingia MTEGONI. na kwa TAARIFA yenu hakuna mtu niliyefurahia USHINDI huu wa Mbwana Samata POPA kama mimi na nasubiri tu arejee niende KUMLAKI na kumvisha SHADA la MAUA. jamani wengine MKALALE kesho muwahi MAKAZINI kwani wengine hata kuwepo tu HUMU tunaingiza siku na MSIIGE shauri yenu!
Unadhani kila mtu anaishi mtaani kwenunijisikie aibu kwa kipi nilichokifanya wakati mimi ndiyo shabiki namba moja wa Mbwana Samata na nilikuwa kila siku namwombea ashinde na leo kweli ameshinda. hizo zingine nilikuwa nawarusheni tu roho ili tubishane na tucharurane humu muda uende na tusilale hadi atakaposhinda na katika hilo MWANAMUME nimefanikiwa. na hata hivyo kuna wengine humu ni VIBAKA maarufu hivyo kwa mimi kuanzisha huu UZI nimewaokoa Watanzania wenzangu kutokupigwa " NGETA " na baadhi yenu. na leo sijui mtamuibia nani tena saa saba ( 7 ) hii.
Unajifanya Martin Kadinda???? maana ndio designer wakengoja arudi aje kunimalizia hela yangu ya hiyo suti. sasa umasikini bye bye!
Kutokana na kwamba wengi wetu leo tunajua kuwa Mchezaji wetu anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya Tout Puisant Mazembe Mbwana Samata " POPA " leo atateuliwa kuwa Mchezaji bora huko nchini Nigeria. kwa mtu anayejua mpira na uchambuzi mzuri wa mpira kwa vigezo na sifa fulani fulani Mbwana Samata leo hawezi KUTEULIWA kuwa ni MSHINDI.
Tukutane baadae na kwa wale ambao mtapenda kufuatilia hii sherehe basi hakikisheni ifikapo tu saa tatu ( 3 ) kamili muangalie super sports nine ( 9 ). na kwa taarifa yenu ni kuwa mpaka sasa naandika UZI huu tayari wachezaji 11 watakaochuana yameshatajwa na kila nikiwaangalia hao Wachezaji wenzio ambao ni MAHIRI sioni ni wapi Mbwana Samata ATASHINDA na kinachonichekesha ni kwamba Watanzania wote na hadi media zote za Tanzania bila kusahau humu mitaani watu TUNADANGANYANA kuwa Mbwana Samata atatwaa TUZO hiyo wakati mimi naona ni NDOTO YA ABUNUASI tena ni ya MCHANA kabisa.
Nawasihi tu tujifunze KUANGALIA mambo kwa KINA na kwa UPANA wake.
Halafu unajiita cleverbright? Is this the cleverest idea you could ever think?wa kuona aubu nani cleverbright au mwingine? angalia post yangu hapo juu NIMESHAWAJIBU wale CRITICS wangu wote katika huu UZI na labda niseme tu kuwa MISSION yangu imekuwa ACCOMPLISHED na mliingia MTEGONI. na kwa TAARIFA yenu hakuna mtu niliyefurahia USHINDI huu wa Mbwana Samata POPA kama mimi na nasubiri tu arejee niende KUMLAKI na kumvisha SHADA la MAUA. jamani wengine MKALALE kesho muwahi MAKAZINI kwani wengine hata kuwepo tu HUMU tunaingiza siku na MSIIGE shauri yenu!
Nilikuwa nasubiiria nisome manneno yako baada ya mshindi kutangazwa. Kifupi ni kwamba hujui unachoongelea. You are just an inherently talented arrogant and pompous lad!Kwa taarifa yenu nilianzisha ule UZI kwa makusudi tu ili TUCHARURANE humu muda uende ili TUSIBOREKE na TUSILALE kwani hata Mimi nilijua kabisa kuwa Mbwana Samata ATASHINDA tu. hata hivyo si mmeona lakini UZI umesaidia kutuweka wote macho hadi sasa hivi Sherehe imemalizika? Hamna mtu niliyefurahi USHINDI wa Mbwana Samata kama Mimi. Hureeeeeeeeeeeee POPA! haya muda wa KUCHARURANA umeisha na sasa TULALENI ili kesho tuwahi makazini. hongera kwa nyote TULIOKUWA TUKICHARURANA na nimefurahi kuwa nanyi kwani mbinu yangu ya KIUCHOKOZI ili tuvute muda IMEFANIKIWA 100%.
Ukiwa kama shabiki wa kweli wa Mbwana Samatta ungewezaje kulala wakati wa kinyang'anyiro cha tuzo ambapo na yeye anahusika? Naamini ulimaanisha ulichokisema na hizi sasa ni mbinu ambazo tumezitumia tangia utotoni ili kufuta aibu. Yaani ukitaka kuanguka na ukahisi watu wamekuona, unarudia tena swagger ile kimaigizo ili watu wadhani ulikuwa unafanya makusudi pale mwanzo. kifupi umeshasomeka, na wala hakuna sababu ya maelezo mengi.nijisikie aibu kwa kipi nilichokifanya wakati mimi ndiyo shabiki namba moja wa Mbwana Samata na nilikuwa kila siku namwombea ashinde na leo kweli ameshinda. hizo zingine nilikuwa nawarusheni tu roho ili tubishane na tucharurane humu muda uende na tusilale hadi atakaposhinda na katika hilo MWANAMUME nimefanikiwa. na hata hivyo kuna wengine humu ni VIBAKA maarufu hivyo kwa mimi kuanzisha huu UZI nimewaokoa Watanzania wenzangu kutokupigwa " NGETA " na baadhi yenu. na leo sijui mtamuibia nani tena saa saba ( 7 ) hii.
ccm huyo hajui kitu.Mkuu ujue kutofautisha kati ya KUTEULIWA na KUCHAGULIWA..