KXY
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 885
- 341
Swali rahisi
Jibu...
Aisee..
Angalia hapa
Tunaomba hiyo orodha ya wachezaji 11
Jibu...
na hapa ndipo wenzetu Wakenya, Waganda na Wanyarwanda wanapotushinda Watanzania kwani Elimu yao ni ya Mwanafunzi kujituma mwenyewe kwa 75% na Mwalimu 25% ila Udhaifu ulionao wa kutafuniwa kila kitu umetokana na mfumo wetu mbovu wa Elimu nchini Tanzania ambapo Mwanafunzi anatakiwa kutafuniwa kwa 90% na Mwanafunzi anajituma kwa 5% na zingine 5% ni za kuibia " kupiga chabo ". sikulaumu sana.
Aisee..
Angalia hapa
kama hujui mpira nyamza hii sio siasa samata yupo katika kipengelee cha mchezaji bora wa afrika anacheza ndani ya afrika na sio nje na yupo kwenye top 3 hao wachezaj 11 unaowasema ni kikosi cha afrika ambacho kimehusisha na wachezaji wanaocheza afrika na nje ya afrika na samatta kwny kikosi yupo