Angalia Watanzania tunavyojidanganya; Mbwana Samatta hatoteuliwa kuwa mchezaji bora Nigeria

Status
Not open for further replies.
Swali rahisi

Tunaomba hiyo orodha ya wachezaji 11

Jibu...



Aisee..
Angalia hapa

 
Kama ulikuwa unatania ungefikia hatua kutukana watu kwenye majibu yako? Umefurah sana kuliko hata wake waliomsindikiza? Saa nyingine hata kama unajua kuliko mtu yoyote huna sababu ya kuleta dharau kwani wewe ukijua kuandika kuna mwingine anajua kucheza kuliko wewe. Naamini umejifunza kitu na hatukukaa macho kwa ajili ya hii post yako kabisa.
 
Eti mchambuzi mahiri! p.umbaf
 
Ungekuwa na akili wala usingerudi kwenye uzi huu. Una roho ngumu sana
 
Shame on u kubwa jinga aya kashinda sasa Na wivu wako wa kike elimu nan anaihitaji apa si wewe zozo
 
Umepata aibu sana sijui unalalaje
 

Try to be optimistic in life otherwise you will never succeed!!!! Sasa mbona ameshinda!!!
 
Halooo muangaliaji mambo kwa kina vipi hapo? Samatta ndo mchezaji bora sasa. Vipi hayo mambo yako ya kina? Vipi wee uliyejiita ni mcambuzi bora wa mpira, uchambuzi uliingia nyongo nini?
Mie wewe nawaitaga ni watu wenye chuki matak.o. Unaacha kuwaunga watanzania wenzako kupigia debe kitu cha home unshoboka na watu wa nje. Na ubaya zaidi kila mtu alikuwa anaona mtu wetu wa ndani anauwezo isipokuwa wewe tu. Acha chuki matak.o hizo.
 
Sasa wewe ndo unahitaji uende kusoma. Nyie ndo vihiyo wa mitaani mkikaa mnadanganya watu halafu mkikutana na watu wanauliza maswali yenye changamoto mna lugha mbovumbovu kumbe vihiyo tu hamna mnalolijua. Cheki sasa ulivyoaibishwa, Samatta kabeba ndoo. Achana na mambo ya soka hujui kitu wewe, kalime mboga tu huko.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…