ANGALIENI CV YA ADAM MALIMA: hana form six wala bachelor, loooo!!!!

ANGALIENI CV YA ADAM MALIMA: hana form six wala bachelor, loooo!!!!

ndio tunachoongea hapa. Wabunge wengi na mawaziri ni incompetent na ukija kuangalia kwanini ni wadhaifu/wazembe na hawafanyi kazi vizuri ni kwa sababu hata shule hawakuenda.

Kwako neno shule maana yake nini?
 
Sijui ni makosa wa watendaji wa bunge lakini kuna kitu hakijakaa sawa. Angalia hapo kwenye red: Malima alisoma Masters kabla ya Post Graduate Diploma? Yaani alitoka o-level moja kwa moja akaanza Masters?
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]Upanga Primary School[/TD]
[TD]Primary Education[/TD]
[TD]1972[/TD]
[TD]1978[/TD]
[TD]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shaban Robert Secondary School[/TD]
[TD]O-Level Education[/TD]
[TD]1979[/TD]
[TD]1982[/TD]
[TD]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Hauana (Cuba)[/TD]
[TD]MSc. (Economics)[/TD]
[TD]1984[/TD]
[TD]1989[/TD]
[TD]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Univesity of London (SOAS)[/TD]
[TD]Post Graduate Diploma (Econ)[/TD]
[TD]1993[/TD]
[TD]1994[/TD]
[TD]POSTGRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of London (SOAS)[/TD]
[TD]MSc. (Econ)[/TD]
[TD]1994[/TD]
[TD]1995[/TD]
[TD]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Yani Magamba....wanafurahisha inamaana alitoka secondary akaenda darasa la 4!!Dah!! uongo mwingi mwisho wasiku ujikuta umeyakanyaga!!Ni nyota kama hizi!!
View attachment 57212
 
hajasoma A level, ametoka o level akaenda moja kwa moja masters, hakuna A level, hakuna undergraduate degreee...hawa ndo wale watoto wa vigogo ambao wazazi wao wana pesa na elimu lakini wao ni wavuta unga na bange, malaya na wakimbia shule...vichwa maji kabisa.[/QUOTE]

Taratibu jamani mkuu Hute!

 
lakini hata akichangia bungeni huwa naona harufu ya graduate wa secondary sio university kwa undergraduate au masters anayosema anayo...kilaza tulimpa unaibu waziri kule kwenye umeme na madini akatupeleka chaka, lakini mkwerwee bado anampa tu....ana nini huyu mkyuba?
 
Naona hii ya Jah People ndiyo imekaa vibaya zaidi. Yani yeye kasoma darasa la kwanza tu 1970. CV haionyeshi kama aliendelea ama alimaliza shule ya msingi mwaka gani. Ni muhimu ofisi ya Bunge ifatilie na kuziweka kwa makini CV za wabunge. Inatupa shida sana kwa taasisi kubwa kama hii kujiridhisha na mapungufu makubwa kama haya.
kusema ukweli, hii ya jah wa njombe kaskazini, ni balaaa, ...unajua kule kwa wabena hawajali sana elimu, wao ukiwa mchawi mzuri ndo unashinda ubunge, hapo mwenye degree zake akijaribu kugombea, watamzika wiki hiyo hiyo.....hii ndo tz bana...kama huamini uliza wakinga na wabena watakwambia.
 
Mkuu, hiyo inawezekana. Inategemea na mfumo wa elimu ya juu wa nchi husika.
Kwa mfano. Enzi za Soviet Union (USSR), wao walikuwa wanachukua wanafunzi wenye sifa za kujiunga na elimu ya juu, wanawafunza lugha ya kwao kwa mwaka mmoja kisha wanawasomesha kozi aliyochagua (specialisation) mwanafunzi huyo kwa miaka mitano. Akihitimu anakuwa awarded Masters degree.

Ila kwa sasa wamebadilisha kutokana na gharama za masomo. Wameona kumlazimisha mtu kusoma taaluma kwa miaka mitano mfululizo ili apate Masters degree ni gharama kubwa. Hivyo wamepunguza miaka hadi mitatu, ili upate kwanza Bachelor na ukitaka waweza kuendelea na Masters miaka miwili.

Kuhusu case ya Mhe. kusoma miaka sita ili kupata Masters Cuba, sioni tatizo. Yawezekana nao walikuwa na system kama hiyo ya USSR, kwani nao walikuwa katika kundi la Warsaw. Ila kwamba amepokelewa chuo kikuu kutoka O-Level, sijui ni kwa nini.

Lakini nadhani hata waziri wa afya wa sasa naye inasemekana hakusoma A-level. Siyo kwamba alifeli hapana. Alikuwa bright sana shuleni na alifaulu vizuri sana O-Level. Inasemekana A-Level alisoma miezi michache tu kisha akaenda kusomea udaktari Turkey. Na ni msomi mzuri sana wa fani yake.

Labda Mhe. Malima ni wa aina hiyo ya kama waziri wa afya. Tusilaumu kabla ya kufanya utafiti.

Yaya,

..kwa uelewa wangu ili serikali ya Tanzania ikudhamini kusoma chuo kikuu nje ya nchi ni lazima mhusika awe amehitimu form six au awe amejiendeleza zaidi ya form 4.

..sasa ilikuwaje serikali ya Tanzania impeleke mhitimu wa form 4 kwenda kusoma chuo kikuu Cuba? hii scholarship ya kwenda Cuba alipata wakati gani? Je, ni wakati Prof.Kighoma Malima akiwa waziri wa elimu??

..Zaidi, kwanini Adam alisoma Post Graduate Diploma in Econ wakati tayari anayo masters ya Econ? Pia kwanini akasoma masters nyingine ya economics? Kwa mtizamo wangu since alikuwa na masters ya economics basi inge-make sense zaidi kama angefanya PhD program ya uchumi.

..Mimi naona tujadili utendaji wake tu. Haya mambo yametokea zamani na most probably hakuwa na control nayo. After all minimum qualifications za kuwa mbunge au waziri anazo.
 
Bro Malima Kapiga Msc. (Economics) Miaka minne?? inaonyesha jinsi alivyo kiazi kichwani halafu unampa aongoze wizara!!! anyway ni uswahiba wa JK na marehemu baba yake Prof. Kighoma A. Malima...usisahau wote wanatoka Mkoa wa Pwani so ni kulipa fadhila. Ndio maana Malima hana wasi wasi kwa kauli/dharau zake kwa yeyote maana anajua ana mtu anamlinda...si unakumbuka saga ya Malima na Mzee Sitta?


Utaratibu wa CUBA unaujua? Ungeelewa kwanza system ya elimu ya Cuba ndo ungechangia vizuri.
 
nilichogundua mimi ni kwamba website ya bunge suala la C.V hawajalitilia maanani sana, si malima tu, wengi sana dondoo zao haziko sawa
 
nilichogundua mimi ni kwamba website ya bunge suala la C.V hawajalitilia maanani sana, si malima tu, wengi sana dondoo zao haziko sawa
This must be a typing error...no high school ..hakuna degree ya kwanza ..direct masters ...na pia master of economics imerudiwa Mara mbili...
inawezekana kuruka high school ...na kwenda kwenye baadhi ya vyuo vikuu wanaotoa foundation course ..one of my friend alikuwa Mzizima akafeli baba yake akampelekea UK akafanya foundation course ...then aka enrol Law ...Baada ya hapo akapiga Barrister course ...akafanya mitihani akafaulu.....in six years akarudi ...Kama high court advocate ...wenzake akawakuta wako mwaka wa Nne Law ...wanaenda kufanya legal Practice wanapishana naye kwenye corridors..
so kwenye Elimu kuna shortcut nzuri zinazokubalika...
 
Watanzania tuache wivu hivi CV ya Malima inakuhusu nini. Hebu leta kwanza yako tuione na tuijadili
 
MEMBER OF PARLIAMENT CV

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1426.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Adam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Kighoma Ali[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Malima[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Mkuranga[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O.Box 2000, Dar es Salaam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 784 612 020/+255 713 612 020[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]amalima@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]26 June 1966[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Upanga Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1972[/TD]
[TD="align: center"]1978[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Shaban Robert Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1979[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Hauana (Cuba)[/TD]
[TD="align: center"]MSc. (Economics)[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Univesity of London (SOAS)[/TD]
[TD="align: center"]Post Graduate Diploma (Econ)[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]POSTGRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of London (SOAS)[/TD]
[TD="align: center"]MSc. (Econ)[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From Date[/TH]
[TH="align: center"]To Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Private Consultants[/TD]
[TD]Business Consultant[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ministry of Energy and Minerals[/TD]
[TD]Deputy Minister[/TD]
[TD="align: center"]2/13/2008[/TD]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pwani Finance Business Consultants[/TD]
[TD]Consultant[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank Of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Financial system[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


BTW: Watoto wa wakubwa mnafaidi banaaaaaa.................
wameKOSEA HAPO NI BACHELOR DEGREE,NDIO MAANA WAMEWEKA MASTERS MWAKA 94.KWA AKILI YAKO UNAFIKIRI KASOMA MASTERS MARA MBILI YA UCHUMI?NDIO MAANA HAJASOMA FORM 6 ,KAANZA DIPLOMA ,BCHELOR KAUNGA MIAKA MITANO KAMA WANAVYOFANYA ST JOSEPH DEGREE YAO MIAKA MITANO UKITOKA FORM 4 NDUGU.MMENIPATA NADHANI. ANY CONSTRUCTIVE CRITICISM?
 
wameKOSEA HAPO NI BACHELOR DEGREE,NDIO MAANA WAMEWEKA MASTERS MWAKA 94.KWA AKILI YAKO UNAFIKIRI KASOMA MASTERS MARA MBILI YA UCHUMI?NDIO MAANA HAJASOMA FORM 6 ,KAANZA DIPLOMA ,BCHELOR KAUNGA MIAKA MITANO KAMA WANAVYOFANYA ST JOSEPH DEGREE YAO MIAKA MITANO UKITOKA FORM 4 NDUGU.MMENIPATA NADHANI. ANY CONSTRUCTIVE CRITICISM?
NA HII HAPA VIPI WAKUU SIJAIELEWA AU NDIO LEARNING BY DOING,EXPERIENCE?

[h=2]MEMBER OF PARLIAMENT CV[/h][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1260.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Freeman[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Aikaeli[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Mbowe[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Hai[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]P.O. Box 3070, Moshi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]fmbowe@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]Secondary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania[/TD]
[TD]Bank Officer[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
yaya,

..kwa uelewa wangu ili serikali ya tanzania ikudhamini kusoma chuo kikuu nje ya nchi ni lazima mhusika awe amehitimu form six au awe amejiendeleza zaidi ya form 4.

..sasa ilikuwaje serikali ya tanzania impeleke mhitimu wa form 4 kwenda kusoma chuo kikuu cuba? Hii scholarship ya kwenda cuba alipata wakati gani? Je, ni wakati prof.kighoma malima akiwa waziri wa elimu??

..zaidi, kwanini adam alisoma post graduate diploma in econ wakati tayari anayo masters ya econ? Pia kwanini akasoma masters nyingine ya economics? Kwa mtizamo wangu since alikuwa na masters ya economics basi inge-make sense zaidi kama angefanya phd program ya uchumi.

..mimi naona tujadili utendaji wake tu. Haya mambo yametokea zamani na most probably hakuwa na control nayo. After all minimum qualifications za kuwa mbunge au waziri anazo.
pale wamechangana ni bachelor.kama st joseph wanavyofanya
 
una uhakika???!
toa maoni yako basi .mi nimesema possibly watakuwa wamekosea.maana wewe unafikiri mtu atasomaje masters mara mbili ya kitu kimoja?.huu mfumo hata st joseph wanao.ukimaliza form 4 unaenda soma special class hadi bachelor kwa 5 years
st.joseph university in tanzania
[h=3]5 years integrated bachelor degree in science with education[/h]
 
toa maoni yako basi .mi nimesema possibly watakuwa wamekosea.maana wewe unafikiri mtu atasomaje masters mara mbili ya kitu kimoja?.huu mfumo hata st joseph wanao.ukimaliza form 4 unaenda soma special class hadi bachelor kwa 5 years
st.joseph university in tanzania
[h=3]5 years integrated bachelor degree in science with education[/h]

Poaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom