Uchaguzi 2020 ANGALIZO: 28/10/2020 tumchague Rais anayeshaurika na anayetimiza matakwa ya Wananchi

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Tusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake.

Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka, siyo yale anayotaka yeye.

28/10/2020 imekaribia sana, ndugu Watanzania tusifanye makosa.


Your browser is not able to display this video.
 
Pombe lazima imwagwe
 
Pia rais anaejiamini sio kufunga mabarabara ya pale Ikulu kuogopaogopa anatuletea usumbufu sana wananchi kuzunguzunguka anafanya barabara kama mali zake binafsi yani nna hamu nae mimi huyu $%##@@*&&&&...

Tukutane tr 28 October
 
Hakika ni yeye tu Tundu Lissu, uchaguzi mkuu 2020
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Lissu ni adui wa Taifa amesaliti Nchi anatembea na laana

Atapewa kura na robert
Hahahaha Bia yetu at work,
Kwani wagombea ni Lissu na jpm tu?
 
Safi
Safi sana rais wangu John Pombe Magufuli. Eti Amstadam nae anataka kukupangia😁😁😁😁
Chukua 5 tena mkuu, wakija corona waambie tutapiga nyungu na wakija na lockdown wewe tukimbize tukachape kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…