Double Elephants
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 522
- 464
Kakusaliti wapi? Wa-tz tuko na shida, uelewa wetu na uchambuzi wa masuala hasa yale yenye manufaa hatuwezi. Tunalishwa matango pori na waliofirisika kisiasa baada ya kushindwa kujibu hoja za msingi. Kwahili, mdahalo wa wagombea ni muhimu kujua usaliti wa Lissu nakile kinachodaiwa uzalendo wa jpm[emoji3][emoji3][emoji3]Lissu ni adui wa Taifa amesaliti Nchi anatembea na laana
Atapewa kura na robert
JKakusaliti wapi? Wa-tz tuko na shida, uelewa wetu na uchambuzi wa masuala hasa yale yenye manufaa hatuwezi. Tunalishwa matango pori na waliofirisika kisiasa baada ya kushindwa kujibu hoja za msingi. Kwahili, mdahalo wa wagombea ni muhimu kujua usaliti wa Lissu nakile kinachodaiwa uzalendo wa jpm
JKakusaliti wapi? Wa-tz tuko na shida, uelewa wetu na uchambuzi wa masuala hasa yale yenye manufaa hatuwezi. Tunalishwa matango pori na waliofirisika kisiasa baada ya kushindwa kujibu hoja za msingi. Kwahili, mdahalo wa wagombea ni muhimu kujua usaliti wa Lissu nakile kinachodaiwa uzalendo wa jpm
Nilishafanya uamui,kura yangu kwa Lissu asubuhi na mapema!
Mimi kura yangu ni kwa Lissu,lije jua ije mvua!Uamuzi nilishafanya na iko hivyo!Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Tunachagua mtu au Chama kwa sera zake zili ainishwa kwenye Ilani ya Uchaguzi?Tusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake.
Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka, siyo yale anayotaka yeye.
28/10/2020 imekaribia sana, ndugu Watanzania tusifanye makosa.
View attachment 1595370
Chagueni chadema maendeleo hayana chamaTusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake.
Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka, siyo yale anayotaka yeye.
28/10/2020 imekaribia sana, ndugu Watanzania tusifanye makosa.
View attachment 1595370
Mbona Muhuni Polepole Kama Kasha Waka Hivi tena Kapiga Konyagi kama Sio K Vant au Safari Ndio Inatabia ya Kukufanya Uhisi Lips Nzito au Zinavuja..Mtajuta
. Hilo ndo NENO Bora tuendelee na ulevi wetu wa pisikali 2 siasa haina faidaMbona Muhuni Polepole Kama Kasha Waka Hivi tena Kapiga Konyagi kama Sio K Vant au Safari Ndio Inatabia ya Kukufanya Uhisi Lips Nzito au Zinavuja..
Heri niendelee kuwa mlevi wa Pisi Kali mim Dr. Love
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli ajiandae tu kustaafu!! Ametoa maneno ya kejeli na ametudharau na kutunyanyasa sana watanzania ndani ya hii miaka 5Tusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake.
Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka, siyo yale anayotaka yeye.
28/10/2020 imekaribia sana, ndugu Watanzania tusifanye makosa.
View attachment 1595370
Jpm ni zaidi ya msaliti.huyu kura hakustahili kupata hata ya mke wake[emoji3][emoji3][emoji3]Lissu ni adui wa Taifa amesaliti Nchi anatembea na laana
Atapewa kura na robert
Lissu kasaliti ccm, jpm kasaliti watanzania..Maswali ya usaliti wa Nchi aulizwe lissu
Jpm atapigiwa na mabango, Bora kura kumpa hata rungweChadema itajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi
Msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert
Binafsi nikikumbuka uwanja wa ndege chato sina hamu na jpm, hakuna uzalendo wowote pale.Wezi was rasilimali za Tanzania no Watanzania wanaojidai kujivika uzalendo hewa ,wenyewe ni kundi la wachache ambao wakotayari kujitoa ufahamu na kuwaita wazalendo wa kweli wasaliti Kama njia ya wao kujificha.
Jpm atapigiwa na mabango, Bora kura kumpa hata rungwe
Lissu kasaliti ccm, jpm kasaliti watanzania..