Jpm ni zaidi ya msaliti.huyu kura hakustahili kupata hata ya mke wake
Mkuu unaongea ukweli mchunguLissu ni msaliti wa Nchi, msaliti wa Watanzania
Uyo mropkaji wenu na msaliti wa Nchi Lissu atajuta huu mwaka
Kila neno baya utamwita mshindani wenu!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siasa ni ajira tunaelewa mnagombea kitumbua, mkale wapi mkiondolewa madarakani na nyinyi wengine shule mmepata ziro! Mmekimbia ajira za mishahara midogo mkaingia ktk siasa.
Amka... Madhara ya kulala mchana ndo hayo!Tusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake.
Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka, siyo yale anayotaka yeye.
28/10/2020 imekaribia sana, ndugu Watanzania tusifanye makosa.
View attachment 1595370
Jiwe hapendwi hata na mkeweAmka... Madhara ya kulala mchana ndo hayo!
Tatizo siyo kuchagua tatizo anayehesabu kura ni nani na tatizo kubwa zaidi anayehesabu kura na kutangaza mshindi yeye kachaguliwa na nani kufanya hiyo kaziTusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake.
Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka, siyo yale anayotaka yeye.
28/10/2020 imekaribia sana, ndugu Watanzania tusifanye makosa.
View attachment 1595370