Uchaguzi 2020 ANGALIZO: 28/10/2020 tumchague Rais anayeshaurika na anayetimiza matakwa ya Wananchi

Lissu ni msaliti wa Nchi, laana imemwandama

Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Jpm ni zaidi ya msaliti.huyu kura hakustahili kupata hata ya mke wake
 
Sio mimi niliyemtuma lissu aisaliti Nchi, huyo mtu wenu laana inamkabili
 
Amka... Madhara ya kulala mchana ndo hayo!
 
Tatizo siyo kuchagua tatizo anayehesabu kura ni nani na tatizo kubwa zaidi anayehesabu kura na kutangaza mshindi yeye kachaguliwa na nani kufanya hiyo kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…