Tenderobo
Member
- Jul 14, 2014
- 25
- 5
Mkumbuke kuwa BRN imekuja BAADA ya wanafunzi wa kidato cha6 2014 kupapatua katika masomo yao ili angalau wapate E2 tu wajiunge na vyuo, na hawakujua kua hii system itatumika, therefore wote wanaowakashif na kuwakejeli wanafunzi wetu wapendwa wafunge mabakuli yao,F6 si ndio....