Hiki kitabu ukikisoma mwanzo mwisho ama kweli kinatia hamasa na kama unaajira ambayo haieleweki unaweza andika barua siku hiyo hiyo
Lakini kitabu hiki kimekaa kinadharia zaidi na vitendo vyote vimeachwa kwa msomaji, sote tunajua ni jinsi gani vitendo vilivyovigumu hata katika masomo yetu ya kawaida.
Sasa huyu anayeitwa poor dad ndo anareflect more than 80% ya maisha ya mwanadamu wa kawaida na ambavo wengi huwa tunafikiri, kwa mfano kiyosak anasema kujenga nyumba ni hasara, mshara mkubwa si lolote, usikope pesa etc etc. mhii sawa.
Sasa ukichagua maisha ya huyu anayeitwa rich dad make sure unatoboa narudia tena make sure unatoboa vinginevyo hawa wanaonekana wanafuata maisha ya poor dad ndo wataonekana matajiri mbele ya macho ya wengi
Zile p;rinciple ukizifuata mwanzoni watu lazima watakuona wa ajabu na usipofanikiwa utakuwa wa ajabu zaidi hadi miti itakucheka, kwa hiyo ndugu zangu tupambane haswa tuanapochagua maisha ya rich dad siyo mziki wa kitoto hakuna lele mama tuset stratege za kueleweka ukifanikiwa maisha ni mteremko mnoo na hawa wanaoonekana matajiri kwa mishara utawaajiri baadae
othrewise follow poor dad life style mabayo ndo maisha ya wanadamu walio wengi.
Lakini kitabu hiki kimekaa kinadharia zaidi na vitendo vyote vimeachwa kwa msomaji, sote tunajua ni jinsi gani vitendo vilivyovigumu hata katika masomo yetu ya kawaida.
Sasa huyu anayeitwa poor dad ndo anareflect more than 80% ya maisha ya mwanadamu wa kawaida na ambavo wengi huwa tunafikiri, kwa mfano kiyosak anasema kujenga nyumba ni hasara, mshara mkubwa si lolote, usikope pesa etc etc. mhii sawa.
Sasa ukichagua maisha ya huyu anayeitwa rich dad make sure unatoboa narudia tena make sure unatoboa vinginevyo hawa wanaonekana wanafuata maisha ya poor dad ndo wataonekana matajiri mbele ya macho ya wengi
Zile p;rinciple ukizifuata mwanzoni watu lazima watakuona wa ajabu na usipofanikiwa utakuwa wa ajabu zaidi hadi miti itakucheka, kwa hiyo ndugu zangu tupambane haswa tuanapochagua maisha ya rich dad siyo mziki wa kitoto hakuna lele mama tuset stratege za kueleweka ukifanikiwa maisha ni mteremko mnoo na hawa wanaoonekana matajiri kwa mishara utawaajiri baadae
othrewise follow poor dad life style mabayo ndo maisha ya wanadamu walio wengi.