KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Habari za muda waungwana wa hapa jamvini........
Hakika ujana una harakati na changamoto nyingi sana.......
Kijana
Umekuwa katika mazingira magumu huku ukiipata elimu kwa tabu kutokana na uchumi wa wazee wako......
Umeyashinda magumu hatimaye umeihitimisha safari yako ya kielimu na kuingia kwenye soko la ajira na kubahatisha ajira inayofanya walau wazazi wako na wewe muendeshe maisha.....
Unaamua kujipanga kimaisha kwa hicho kipato kidogo cha ajira yako huku ukipambana na mihemko ya tamaa na anasa za dunia kwa kujizuia na wakati mwingine kutumia kinga pale unapojikwaa ili usitoke nje ya malengo na mipango yako........
Hatimaye unayafikia malengo na kujiona kuwa una misuli ya kuyakabili mambo ya ndoa hivyo unaamua kuoa.......
Mtihani wa pili mkubwa wa maisha yako ndio unaanzia hapo.....na ndio mtihani ambao ukifeli unaweza kukurudisha nyuma kwa spidi ya mwanga kule ulikotoka au hata kaburini kabisa.....na ukifaulu utajiona duniani hapa kama upo peponi
Unapoliangalia soko la waolewaji ndio unazidi kuchanganyikiwa maana waongo na wa kweli wote wanaongea lugha moja na kutabasamu........
Bila shaka unastahili mwanamke bora atakayekupa utulivu na kujivunia yale uliyoyapigania na sio mwanamke atakayekuongezea mawazo na kuyajutia maisha yako na mafanikio yako........
Katika wakati kama huo kuwa makini sana na utangulize akili yako mbele na sio hisia za mapenzi pekee ili usijekuwa RETIREMENT PLAN ya mwanamke yoyote.......
Nachelea kuyaandika mengi kwani naweza kutafsirika vibaya na baadhi ya watu..... lakini nadhani watu wazima wenzangu washajua RETIREMENT PLAN kwa mwanamke namaanisha nini......
WORD IS ENOUGH FOR THE WISE.......
Hakika ujana una harakati na changamoto nyingi sana.......
Kijana
Umekuwa katika mazingira magumu huku ukiipata elimu kwa tabu kutokana na uchumi wa wazee wako......
Umeyashinda magumu hatimaye umeihitimisha safari yako ya kielimu na kuingia kwenye soko la ajira na kubahatisha ajira inayofanya walau wazazi wako na wewe muendeshe maisha.....
Unaamua kujipanga kimaisha kwa hicho kipato kidogo cha ajira yako huku ukipambana na mihemko ya tamaa na anasa za dunia kwa kujizuia na wakati mwingine kutumia kinga pale unapojikwaa ili usitoke nje ya malengo na mipango yako........
Hatimaye unayafikia malengo na kujiona kuwa una misuli ya kuyakabili mambo ya ndoa hivyo unaamua kuoa.......
Mtihani wa pili mkubwa wa maisha yako ndio unaanzia hapo.....na ndio mtihani ambao ukifeli unaweza kukurudisha nyuma kwa spidi ya mwanga kule ulikotoka au hata kaburini kabisa.....na ukifaulu utajiona duniani hapa kama upo peponi
Unapoliangalia soko la waolewaji ndio unazidi kuchanganyikiwa maana waongo na wa kweli wote wanaongea lugha moja na kutabasamu........
Bila shaka unastahili mwanamke bora atakayekupa utulivu na kujivunia yale uliyoyapigania na sio mwanamke atakayekuongezea mawazo na kuyajutia maisha yako na mafanikio yako........
Katika wakati kama huo kuwa makini sana na utangulize akili yako mbele na sio hisia za mapenzi pekee ili usijekuwa RETIREMENT PLAN ya mwanamke yoyote.......
Nachelea kuyaandika mengi kwani naweza kutafsirika vibaya na baadhi ya watu..... lakini nadhani watu wazima wenzangu washajua RETIREMENT PLAN kwa mwanamke namaanisha nini......
WORD IS ENOUGH FOR THE WISE.......