ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Serikali ya China imetoa kibali Kwa wanasagansi wake kuanza uzalishaji wa mazao yanayotumiwa Kwa Wingi na watu Kwa teknolonia ya GMO.
Mazao Makuu yaliyolengwa ni Soybeans,Mahindi (Yellow &Sweet corn) ,ngano na Baadhi ya wanyama hasa nguruwe.
Aisha katika kuondokana na utegemezi mkubwa wa kuagiza bidhaa hizo kutoka Nje,China imefanya ugunduzi wa GMO Kwa kupandikiza protein ya soya kwenye mahindi na hivyo kuanza uzalishaji wa Soya-Mahindi.
Lengo la China ni kuimarisha usalama wa chakula Kwa kupunguza Kwa nusu uagizaji wa bidhaa hizo kutoka Nje Ili Kukabiliana na geopolitics China develops new high-protein corn to replace foreign soybeans
My Take
Kukosa soko la China ni pigo kubwa Kwa Wakulima
Wakulima wa soya mkiongizwa na kina Kusaga wa Clouds jiandaeni kutafuta soko jipya.
Serikali yetu nayo ijitahidi kuimarisha sekta a mifugo na Uvuvi Ili tuwe na soko la uhakika la ndani.Kenya tayari wanazalisha GMO so sio soko Letu tena.
Mazao Makuu yaliyolengwa ni Soybeans,Mahindi (Yellow &Sweet corn) ,ngano na Baadhi ya wanyama hasa nguruwe.
Aisha katika kuondokana na utegemezi mkubwa wa kuagiza bidhaa hizo kutoka Nje,China imefanya ugunduzi wa GMO Kwa kupandikiza protein ya soya kwenye mahindi na hivyo kuanza uzalishaji wa Soya-Mahindi.
Lengo la China ni kuimarisha usalama wa chakula Kwa kupunguza Kwa nusu uagizaji wa bidhaa hizo kutoka Nje Ili Kukabiliana na geopolitics China develops new high-protein corn to replace foreign soybeans
My Take
Kukosa soko la China ni pigo kubwa Kwa Wakulima
Wakulima wa soya mkiongizwa na kina Kusaga wa Clouds jiandaeni kutafuta soko jipya.
Serikali yetu nayo ijitahidi kuimarisha sekta a mifugo na Uvuvi Ili tuwe na soko la uhakika la ndani.Kenya tayari wanazalisha GMO so sio soko Letu tena.