Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Ukimuona sasa😓😓 kama zungu jeupeeee..hawez hayo maishaMwite aje huko chimbo ashindwe kuokota kuni za kupikia? Ashindwe hata kusogeza mercury au kalai, ashindwe hata kushika scale? Ashindwe hata kuingia kwenye konga hata mara moja? Haiwezekani
Ok,ntakujulisha mpendwaCheki na website yao..ntakuunga na mkulima
Hii website jina lake tafadhali kwa faida ya wote.
[emoji23]Sawa sisi tumekusikia na tumekubali hatuji, Ila hebu tuambie wewe Mwenzetu huko unafanya Mishe gani? Kwann hadi Leo hii bado umeng'ang'ania huko na hutaki kurudi tuendelee na Kilimo Kijijini huku Igembensabo?
Ndio huo uchumi tunaodanganyana hapaIla wanajenga bwawa kubwa la umeme!
Na wana ndege za abiria nyingi mkuu!🤔
Everyday is Saturday............................... 😎
Mkuu hayo matangazo yanapatikana wapiTuma saizi unapata kiulaini. Mimi mchana huu nimetuma email 2
Wenzetu wana standard km yana mawe hawanunui... km una uwezo wa kuchambua tani 20 za maharage kuondoa mawe kazi kwako.Maharage mekundu, yanayolimwa Bukoba?
Ngoja ntakutumia picha, Kuna maharage mekundu tunayalima Sana home Bukoba.
We jamaa chai sanaJuzi nilienda Ethiopia daah!! kuna njaa ya hatari ombaomba wanawazidi Watalii kwa wingi
Ni connect na mm ikikupendezaYeah. I can do that
Wait ntakushtua
Nipo Kimberley nauza Apples maisha yanasonga!Natumai wazima wote leo nilikuwa natamani tushee Jambo moja na watanzania wenzangu mnaohitaji kuja kutafuta ajira huku SA
Ukweli ni kwamba ajira huenda zikawepo ila siyo kwa watanzania
Huenda hujanielewa watanzania huku hatuaminiki, ni vigumu mtu kukuamini kukupa kazi wengi "wezi' hali iliyopelekea kupunguza imani juu yetu
Huku unaweza kukuta wabongo 200 ila walioajiriwa hawazidi 40 wengi wezi Hawa hujiita "26" Hawa ni wabaya hawamwangalii wa kumuibia na waliobaki wamejiajiri kama kuuza matunda nk
Tatizo letu kubwa tunakuja SA kuja kutafuta ajira tukiwa hatuna msingi tukija tunashtukia kuwa hakuna ajira
Wenzetu Wasomali, Ethiopians, Nigerians huwa wanakuja huku na mitaji yao hata ukiwaona Wasomali wameshikwa huko Tanzania pale wanakuwa wamejipanga wanahela wakija huku wanafungua biashara wanatoboa pia wanasaidiana na kiukweli wana hela ila kwa watanzania ni kinyume
Ushawahi sikia vurugu dhidi ya watanzania? Natives wa huku huwa hawamchukii mtu asiye na mafanikio na wabongo hatuna chochote ndiyo maana hawatufanyii vurugu kama kwa wanaijeria na wengine
Wabongo huku tunauana miezi miwili ilyopita Johannesburg watanzania wamemuua mtanzania mwenzao kisa Randi 8000 sasa imagine
Nia na madhumuni ya uzi huu wewe unaetaka kuja huku jipange uwe na mtaji huku sasa hivi ajira kwa wabongo hamna brothers wa miaka ya 90s Washa tuharibia CV pamoja na watoto wa Dar Hawa huja SA kufata life style tu hawana malengo ndiyo wanaofanya watanzania woote huku tuonekane wazurulaji pia ndiyo wanaongoza kwa kuuana Kisha kusafirisha maiti kurudi Dar
NB: Kila mtu anabahati yake kana unakuja njoo ujaribu bahati yako ila jipange kisaikolojia
Kijana changamkia fursa ukiwa na roho hiyo utakuja kuwa mchawi
Ndio ndio boss ni hayo hayo huku wanahitaji sana hayo maharage. Sawa nasubiri picha hiyoMaharage mekundu, yanayolimwa Bukoba?
Ngoja ntakutumia picha, Kuna maharage mekundu tunayalima Sana home Bukoba.
Sasa kama hawatambui mpaka Elimu yako si wanaweza kukuchukua utumwa?Elimu yako hawaitambui so itabidi ufanye vibarua na Ujira
Mkuu Afghanistan,Syria,Iraq watu wengi tu wananaenda Kama maexpat wanapelekwa na mashirika ya kimataifa kama UN na mengineyo na mshahara wanalipwa mrefu kwenda risky areas.Afghanistan? [emoji26] si bora nife kifo cha asili au hata cha kurogwa sio mbaya haphapa Bongo kuliko kulipuliwa vipande vipande.
Mkuu Mimi Kama Mimi siajfikia level za kununua na kugrade matani. Ila akitokea mtu anahitaji itakuwa rahisi kushirikiana.Wenzetu wana standard km yana mawe hawanunui... km una uwezo wa kuchambua tani 20 za maharage kuondoa mawe kazi kwako.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Cheki na website yao..ntakuunga na mkulima
Demi njoo hapa😆Mkuu nimefuatilia nyuzi zako nikiri wewe ni mpambanaji. Serikali yetu ingekuwa na mpango unaoeleweka wa kuwawezesha vijana ukakabidhiwa vijana kadhaa na fungu tungekuwa mbali sana. Ila pia nikiri aliyekuoa ana bahati sana
Ila kuna mengine tusiilaumu serikali...ni sisi kujiongeza..mashamba mengi ya sisal wameshika wahindi na arabs...! Kuna watu ukimwelezea faida za kupanda miti anakuambia it takes a lot of time haya kuna sisal hii hapa ..kuna kioindi Mh Majaliwa aliiongelea kwa upana sana zao la katani...tena mashamba yanakodishwa almost na bure..tupo tu...huu ni uwekezaji mzuri mno mno tena hauna gharama..yharama ni vibarua..mbegu ni 200/@ plant wenginr wanakupa buree...!nxt yr ntakua nimekamilisha 5acres nione inakuwajeMkuu nimefuatilia nyuzi zako nikiri wewe ni mpambanaji. Serikali yetu ingekuwa na mpango unaoeleweka wa kuwawezesha vijana ukakabidhiwa vijana kadhaa na fungu tungekuwa mbali sana. Ila pia nikiri aliyekuoa ana bahati sana