Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Yaani ukiongelea suala la miti misuli ya kwapa inaachia ...kuna jank nmesoma naye huko Mufindi enzi zilee...nimekutana naye last month ana eka 36😭😭🥱🥱😭😭! Kalimia mdabulo...mm siwez panda kwasasa...ntapoteza tu

Fitofu ndema be bei ya viazi ni ndogo mno naona uvv balaa..umelimia kipande kipi? Hongeraa..mie nna mpango labda wa kulima sisal
Mzee daily ananipigia kelele tupande sisal shamba naona michosho haahahaah
 
Nimemshuhudia...well nimeambiwa, kuna mdada karudi tokea Uarabuni ambako alipata mchongo wa kazi za ndani

Sasa amerudi kumbe alikuwa mchana anaosha vyombo ila usiku alikuwa anapigwa mtungo na mzee mwenye mji na vijana wake wanne.

Ana hali mbaya sana na huwa anatibiwa bawaziri iliyosababishwa na kuingiliwa bila vilainishi katika njia yake ya haja kubwa.
 
Kiuzoefu Sisi wabongo wengi hatuna Akili ya kusogea kimapato tofauti na watu wengine,Utawakuta watu wa mataifa kama Nigeria,Zimbabwe na wengineo wakifika ulaya wanaanza kupambana na kazi za ovyo Ila baada ya muda utaona wamefingua African shops zao,au wanasoma baadaya ya muda Utawakuta wapo sehemu nzuri,

Ila Wabongo tunaishia always kubeba box na usafi katika Maisha yetu yote,hatujiongezi kabisaaa,

Nawaincourage watanzania wenye Elimu ya UMEME,PLUMBING,GAS KAMA WAPO,FUNDI UJENZI,FUNDI MAGARI,SEREMALA, waje watafute Fursa Ulaya maana wanahitajika,
Upo ulaya ipi???
 
Kiuzoefu Sisi wabongo wengi hatuna Akili ya kusogea kimapato tofauti na watu wengine,Utawakuta watu wa mataifa kama Nigeria,Zimbabwe na wengineo wakifika ulaya wanaanza kupambana na kazi za ovyo Ila baada ya muda utaona wamefingua African shops zao,au wanasoma baadaya ya muda Utawakuta wapo sehemu nzuri,

Ila Wabongo tunaishia always kubeba box na usafi katika Maisha yetu yote,hatujiongezi kabisaaa,

Nawaincourage watanzania wenye Elimu ya UMEME,PLUMBING,GAS KAMA WAPO,FUNDI UJENZI,FUNDI MAGARI,SEREMALA, waje watafute Fursa Ulaya maana wanahitajika,
Mkuu kwa hizi fani wanazingatia vyeti? Na je kama wanazingatia, vyeti vya tz vina kuwa vipi verified huko?
 
Back
Top Bottom