Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Yule nae Ndezi tu, hataki tujenge kwanza ndio tumpigie kazi.

Smenti mifuko kumi inampunguzia nini

Wahindi ndio wapigaji sasa halafu wanafichia kwenye leja ya matumizi
Sio yeye tu, wawekezaji wengi wanalalamika juu ya uaminifu wa wafanyakazi watanzania wa kada zote; wote ni wapigaji Mpaka SPIKA wa Bunge ,si uliona bili yake ya hospitali alivyoibumba!!
 
Yaani hapo kwa babu sio kama alikuwa boya hapana yeye mwenyewe alikuwa msafiri kwa wale wenzangu wa meli Watakuwa wamenielewa alikuwa katembea sana na meli ikafika wakati akaamua kulizima kaburu a kila bata zake anatoto la kizuru sio poa huyu MZUNGU BABU alikuwa smart hadi wale wazuru unaowajua wewe mandava mapiga manati walikuwa wanamkubali babu... Alikuwa rafiki wa kila mtu hata pale inapotokea umepishana kiswahili na wazuru basi babu alikuwa anauwezo wa kuwaita mandava wa kizuru nakupiga nao story na kuwaelewasha kuwa wewe ni mgeni wake umekosea anaomba usamehewe na fresh kesho kitaa hakuna noma wala nini.... Dah kila ninapotaja jina la babu nakumbuka mengi sana Mazur ya babu... Wazungu wengi sana wamepita kwa babu
Ahaa nimekupata,Babu alitusua kimaisha au Bado anaganga njaa ?
 
Mkuu saizi Qatar,UAE kuna fursa Sana wahindi hawaingii sababu ya Covid-19. Ukiomba mchongo wa fani yoyote kwenye matangazo yao unapata fasta.
Mkuu nauli ya Qatar ni kiasi gani, mchingo gani ni rahisi zaidi kuipata , je hali ya kimaisha kijamii na kiuchumi iko vipi...?
 
Sasa mkuu utaongeleaje vitu ambavyo umesimuliwa?ungekuwa umejaribu kuishi nje au hata kufika ungefanya comparison inayoleta logic.
By the way jamaa alikuangalia AKAKUSHANGAA SANA NA KUKUDHARAU[emoji16] japo wewe ulihisi kakuaminia, unaweza jiuliza kwanini?.
Kwa sababu mtu mwenye hekima katika kutoa ushauri huangalia sana interest ya mshauriwa ili kusudi asimkwaze au kumdisappoint,hiyo principle inaitwa HAWTHORNE.
Ukweli unabaki kuwa kuna opportunities sana nje na nyingi kuliko hapa kwetu na maslahi ni makubwa mno,nimeishi nje ninajua ninachokisema.
Huwezi kusema ni rahisi kutoboa kwenye nchi ambayo any time TRA wanakusumbua na mikodi mikubwa ya kukadiria isiyoeleweka,sheria za uchumi za ajabu ajabu,kufilisiwa na kufungiwa account,kuteswa kwa wafanyabiasha na kunyang'anywa mali ulizozitafuta kwa jasho kwa kigezo cha UHUJUMU UCHUMI [emoji23] utoboe kirahisi kulinganisha na nchi zenye sera bora za maendeleo na zilizostaarabika.

Hebu fikiria ikiwa INVESTORS wenye billions of dollars capitals wanashindwa kufanya biashara kwa mazingira mabaya hadi wanakimbia nchi itakuwa wewe mwenye ml 2 - 10 utoboe kirahisi?[emoji16]

Achana na biashara twende kwenye kilimo na ufugaji utatoka vipi,ulime nini?una soko la uhakika?pamba ambayo kilo unauza shilingi 800 au mahindi unayonunua stock kubwa ya tani kadhaa,unasafirisha kufika mipakani yanazuiliwa kuingia kuwa ya SUMU[emoji24]?kwa sababu ya uhusiano wa kidiplomasia mbaya baina yetu na majirani?.Mara ngapi tani za nyanya,maparachichi,mihogo,korosho zinatangazwa kuharibika kwa kukosa soko?

Ukiajiliwa je?ukae miaka 6 bila promotion, increment na ongezeko la mshahara utatoboa?.
Kuna ajira?NGO'S na Government zinaajiri?.

Note😀ada wa kazi na mfanya usafi std 7 DUBAI,QATAR,OMAN na SAUDIA analipwa kuanzia TSH 800,000 monthly,free meal,free healthcare,free accomodations,free WiFi,unamlinganisha na mfanya kazi gani wa serikali yako na mwenye elimu ipi?

Mwanzo umeongea km unajielewa baadae kuanza kuleta pumba zako za siasa kwenye uzi unaozungumzia mambo ya msingi...

Ukiwa loser wewe ni loser tu,uwe tanzania uwe marekani uwe wapi.Unalalamika upuuzi nakutafuta mtu wa kulalamika mbona wenzako wamefanikiwa
 
Kiuzoefu Sisi wabongo wengi hatuna Akili ya kusogea kimapato tofauti na watu wengine,Utawakuta watu wa mataifa kama Nigeria,Zimbabwe na wengineo wakifika ulaya wanaanza kupambana na kazi za ovyo Ila baada ya muda utaona wamefingua African shops zao,au wanasoma baadaya ya muda Utawakuta wapo sehemu nzuri,

Ila Wabongo tunaishia always kubeba box na usafi katika Maisha yetu yote,hatujiongezi kabisaaa,

Nawaincourage watanzania wenye Elimu ya UMEME,PLUMBING,GAS KAMA WAPO,FUNDI UJENZI,FUNDI MAGARI,SEREMALA, waje watafute Fursa Ulaya maana wanahitajika,
 
Sikulifiria hilo kwa maana ilikuwa2018 wakati Vyuma vilipokuwa vimekaza balaa, halafu ikawa hata ukisema vyuma vimekaza ni marufuku😁
Bila shaka unazungumzia zile zama ambazo ukisema vyuma vimekaza, unaambiwa ulikuwa unaishi kwa kutegemea madili!
 
Back
Top Bottom