Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Sehemu kama hiyo si bora nifie hapa hapa Mbagala kwa amri ya Mungu ya uzeeni Visu vya Wazulu wakaenavyo
Enzi hizo kwa kaburu ilikuwa balaa.... Umeiba kwenu deck na tv uende kwa kaburu eeeh utasimulia.... Kind hicho njia Maputo full balaa
 
Unabishana au....? Babu sisi ndo wazee wa Deben miaka hiyo enzi za kina JONGO janga, bellwhite, mabula.... Sema kiusalama siwezi weka picha hapa ningekuwekea picha hapa huenda ungjua naongelea na nani
Babu Journey (Jane) unampata mkuu.
 
Mkuu nipe konekshen ya kuuza maparachichi Qatar. Kuna mdau aliwahi niambia kilo ya maparachichi Qatar Ni sawa na Tzs 10,000.
Mkuu sina connection hiyo. Hata Somalia ukipeleka matunda bandari ya Berbera ni deal Sana.Waitaliano wanapeleka ndizi na meli za reefer/refrigeration.

Huku bongo tungekuwa na meli zinazoenda direct huko matunda tungeuza matunda bei ghali.
 
Enzi hizo kwa kaburu ilikuwa balaa.... Umeiba kwenu deck na tv uende kwa kaburu eeeh utasimulia.... Kind hicho njia Maputo full balaa
Mkuu mimi napendaga mtu anaekuambia ukweli
Kuna jamaa yangu alipata Ngo moja inaajiri watu kuwapeleka Jamhuri ya Afrika ya Kati nikamwambia usiende akaenda akakutana na dhoruba sasa sijui ilikuwa ni Ambush ile amepooza kuanzia kiunoni kwenda chini

Hata mashine hapigi tena huwa tunamdanganya Mke wake kua iko siku jamaa atapona ili Mke asikimbie.
 
Mkuu Somalia kwenye biashara ya Chakula hakuna dhulma.
Lete mchongo mwingine bhana,WaSomalia labda waje tuwapeleke Lushoto, wanunue halafu watupe chajuu chetu tena mbele ya Kituo cha Polisi

Ndio tuwasindikize Bandarini wakapakie mzigo wao ili tuhakikishe wameondoka laa sivyo wanaweza kutuzulumu hata hicho cha juu chetu.
 
Babu Journey (Jane) unampata mkuu.
Sikuwa kukutana nae si unajua maskani zipo nyingi sana na kila maskani zina option zao wapo wanao enda kaburu wa nataka kupanda meli... Wapo wanaokuja kaburu kuiba.... Wapo wanaokuja kaburu kutafuta kazi.... Wapo wanaokuja kaburu kuishi.... Mimi baharia chizi meli akili yangu ilikuwa meli tu na nimeenda kaburu baada ya majaribio yangu zaidi ya 30 au 50 kupanda meli hapa Tz kushindwa.... Na sio kama sijapanda meli hapa nishapanda sana tatizo meli za wakati huo zilikuwa haziendi direct ulaya lazima zikite nchi nyingine Africa watu wa naenda kupanda meli kwa kaburu bomba likifungua safar ulaya...
 
Mkuu mimi napendaga mtu anakuambia ukweli
Kuna jamaa yangu alipata Ngo moja inaajiri watu kuwapeleka Jamhuri ya Afrika ya Kati nikamwambia usiende akaenda akakutana na dhoruba sasa sijui ilikuwa ni Ambush ile amepooza kuanzia kiunoni kwenda chini

Hata mashine hapigi tena huwa tunamdanganya Mke wake kua iko siku jamaa atapona ili Mke asikimbie.
Visu hivyo vya kizuru... Wazuru wanapenda sana ugomvi wa Visu... Na Visu vyao vina sumu ukipigiwa kama ujapalalaiz yesu mjomba ako
 
Babu Journey (Jane) unampata mkuu.
Enzi hizo kulikuwa kuna msela mmoja kaburu wa bongo wengi wanamjua wakuitwa COSBY MALIMAA au MZUNGU BABU alikuwa smart sana huyo msela yaani ukifika unaulizwa haya ndo ushafika kaburu unataka kufanya kazi au unataka kupanda meli basi kama meli jamaa atafanya kila awezavyo anakukutanisha na machizi meli hapo baba lazima usafir atakutia moyo utakula na Full mipango atafanya.... [emoji1787][emoji1787]Meli hata iwe wapi itafuatwa na watu watajipakia huyo babu kawapa masela wengi sana good time kaburu.... Sasa hiv yupo Tz kitambo umri umeenda nimeshakutana nae magomeni kagera maeneo ya friends corner maarufu sana... Huyo babu mwenyewe katembea sana na bomba hakuna nchi hajafika huyo ndio roho ya wapanda meli wengi sana wa bongo...
 
Yeye hakutaka kwenda ulaya alisaidia watu tu?
Enzi hizo kulikuwa kuna msela mmoja kaburu wa bongo wengi wanamjua wakuitwa COSBY MALIMAA au MZUNGU BABU alikuwa smart sana huyo msela yaani ukifika unaulizwa haya ndo ushafika kaburu unataka kufanya kazi au unataka kupanda meli basi kama meli jamaa atafanya kila awezavyo anakukutanisha na machizi meli hapo baba lazima usafir atakutia moyo utakula na Full mipango atafanya.... [emoji1787][emoji1787]Meli hata iwe wapi itafuatwa na watu watajipakia huyo babu kawapa masela wengi sana good time kaburu.... Sasa hiv yupo Tz kitambo umri umeenda nimeshakutana nae magomeni kagera maeneo ya friends corner maarufu sana... Huyo babu mwenyewe katembea sana na bomba hakuna nchi hajafika huyo ndio roho ya wapanda meli wengi sana wa bongo...
 
Enzi hizo kwa kaburu ilikuwa balaa.... Umeiba kwenu deck na tv uende kwa kaburu eeeh utasimulia.... Kind hicho njia Maputo full balaa
Kuna bro mmoja enzi zile sisi Yuko shule ya msingi mwaka 2000 alimaza six pale makongo

Jamaa alikuwa anakipaji na soka anaupigwa mingi Sana halafu alikuwa brazameni usipime

Sasa wakakubaliana kijiweni kwao wazame sauzi walikuwa Kama wanne hivi halafu walikuwa wanakula vyuma gym[emoji1]

Jamaa akampkwapulia maza ake 300k si unajua 300k ya enzi zile ilivyokuwa kubwa namaanisha mwaka 2000 .

Hao wakazimia sauzi Kati ya wale wanne wawili mambo yakawashinda wakarudi bongo aliekwapua 300k na mshikaji wake wakakomaa sauzi

Hadi leo itakuwa 20 tangu wazamie wabongo wa sauzi sijui wanampata Jamaa anaitwa Tuve
 
Yeye hakutaka kwenda ulaya alisaidia watu tu?
Yaani hapo kwa babu sio kama alikuwa boya hapana yeye mwenyewe alikuwa msafiri kwa wale wenzangu wa meli Watakuwa wamenielewa alikuwa katembea sana na meli ikafika wakati akaamua kulizima kaburu a kila bata zake anatoto la kizuru sio poa huyu MZUNGU BABU alikuwa smart hadi wale wazuru unaowajua wewe mandava mapiga manati walikuwa wanamkubali babu... Alikuwa rafiki wa kila mtu hata pale inapotokea umepishana kiswahili na wazuru basi babu alikuwa anauwezo wa kuwaita mandava wa kizuru nakupiga nao story na kuwaelewasha kuwa wewe ni mgeni wake umekosea anaomba usamehewe na fresh kesho kitaa hakuna noma wala nini.... Dah kila ninapotaja jina la babu nakumbuka mengi sana Mazur ya babu... Wazungu wengi sana wamepita kwa babu
 
Dada kote huko kwa nini?

Twende tukalime vitofu dabaga au hata tukavune mbao nina eka kama 20 za miti sema bei ya miti siku hizi inafanana na ya maandazi[emoji22][emoji22][emoji22]
Yaani ukiongelea suala la miti misuli ya kwapa inaachia ...kuna jank nmesoma naye huko Mufindi enzi zilee...nimekutana naye last month ana eka 36😭😭🥱🥱😭😭! Kalimia mdabulo...mm siwez panda kwasasa...ntapoteza tu

Fitofu ndema be bei ya viazi ni ndogo mno naona uvv balaa..umelimia kipande kipi? Hongeraa..mie nna mpango labda wa kulima sisal
 
Mbona tunaambiwa michongo kibao huko bondeni

Hakuna mtu anaweza kumpa ajira mtu MWIZI!!! Hilo ni tatizo hata Tanzania kwenyewe WIZI umejaa kila kona kiasi Kwamba wawekezaji wanaona afadhali kuajiri WAHINDI na kuwalipa vizuri kwani ni waaminifu kuliko kuajiri wabongo; halafu mnalalamika hakuna ajira!!! Mmewahi kujiuliza kwanini DANGOTE ameajiri wahindi wengi kwa kazi ambazo wabongo wangeweza kuzifanya? Kama nchi ni lazima tuwe waaminifu ndio tutafanikiwa ama sivyo kila mahala ukienda ukisema tu wee ni MTANZANIA ujue hupati kazi!!
 
Back
Top Bottom