Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

South Noma niliwahi kufata mkumbo mwaka 1990 nikashawishika kwenda South dah nilipofika nilijilaumu sana baada ya kuona maisha halisi waliokuwa wanaishi watz.... Baada ya kufika moja kwa moja tulienda kujitambuliza kwa home wetu kuwa tayar tumeingia basi home boy akatupeleka anakokaa kwenye mgorofa mmoja humo kuna wabongo kama wote.... Yaani sitokuja sahau aisee... Hilo gorofa kila muda ni milio ya risasi namuuliza mwanangu vip ananiambia kuna mtu kazingua kabigwa risasi mara wabongo wale wa kule wamevamia hapa wamepiga watu risasi kisa demu aisee maiti kila muda duh
[emoji38][emoji38] chief tumalizie ulifanyaje mpaka ukarudi bongo

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Ila kunamtu alikua anasimlia simlizi ya huko alisema maisha ni magum Tena akasema usiombe ukutane na wabongo mateja yani watakulazimisha ujisaidie wapekue kinyesi waone Kama kunaunga ila alisema kua wabongo wanapendwa Sana na madem wa south Africa sijui nikweli

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Natumai wazima wote leo nilikuwa natamani tushee Jambo moja na watanzania wenzangu mnaohitaji kuja kutafuta ajira huku SA
Kweli hakuna jipya chini ya jua,sie kaka,anko Zenu tulijsribu kuzamia bondeni kipindi Cha Mandela miaka ya 94s,wapo waliofanikiwa wapo waliotoswa baharini,waliofanikiwa waliporudi walikuwa na mpunga mrefu hatari.

Nawakumbuka mabaharia wawili Mitaa ya sinza,wao pekee ndio walikuwa wanamiriki sport car,na tv mtaa mzima,watoto wote tulikuwa tunaenda kucheki muvi za kihindi na ya komando john
 
Hajawah kukaa sawa ..aliondoka 1997 akarudi siku ya msiba wa dingi ake na hiyo 3m..since then akasema harudi huko wenzake wote wameoa na maisha wanayo..yy kkutwa kugongea nyagi
And watu wa hivyo wakishalewa wanakuwa wanajiona wanyamwezi sana, madharau mingi na kuwaona wabongo hawana exposure
 
Kuna jamaa yangu alienda kufanya masters Sweden, karudi full madharau, akadharau hadi coworkers na mabosi wake, akatimuliwa kazi. Kuna siku nipo naye bar akaniambia tatizo lako mkuu huna exposure haha, tena kipindi hicho mimi ndiyo nilikuwa nampa deals ya kupata tuhela twa kuendeshea family maana alikuwa out of work, now ni psycho case, kalazwa Milembe zaidi ya mara 3, wife kasepa na madogo, makovu mwili mzima ya kupigwa kwenye mabaa, anakunywa then hana hela ya kulipa.

Wabongo inabidi wajue nje siyo kitu kitu, inaweza kuwa miundombinu yetu na government yetu haipo poa kivile, but raia mmoja mmoja tunawazidi sana. Nipo nchi fulani now, kuna jamaa jirani yangu kutoka mojawapo ya nchi ya kiafrika, phd student, kompyuta tumemfundisha huku kutumia, kompyuta yake ya kwanza kanunua mwaka wake wa 3 wa phd. Tuache kujidharau na kuidharau nchi yetu.
 
Ila kunamtu alikua anasimlia simlizi ya huko alisema maisha ni magum Tena akasema usiombe ukutane na wabongo mateja yani watakulazimisha ujisaidie wapekue kinyesi waone Kama kunaunga ila alisema kua wabongo wanapendwa Sana na madem wa south Africa sijui nikweli

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kuna jiran yetu aliibaga TV nyumban kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemshuhudia...well nimeambiwa, kuna mdada karudi tokea Uarabuni ambako alipata mchongo wa kazi za ndani

Sasa amerudi kumbe alikuwa mchana anaosha vyombo ila usiku alikuwa anapigwa mtungo na mzee mwenye mji na vijana wake wanne.

Ana hali mbaya sana na huwa anatibiwa bawaziri iliyosababishwa na kuingiliwa bila vilainishi katika njia yake ya haja kubwa.
Dah siyo poa kule kwa wadada hakufai aise ..kama haina roho ya kibabe hauishi..
 
Natumai wazima wote leo nilikuwa natamani tushee Jambo moja na watanzania wenzangu mnaohitaji kuja kutafuta ajira huku SA

Ukweli ni kwamba ajira huenda zikawepo ila siyo kwa watanzania

Huenda hujanielewa watanzania huku hatuaminiki, ni vigumu mtu kukuamini kukupa kazi wengi "wezi' hali iliyopelekea kupunguza imani juu yetu

Huku unaweza kukuta wabongo 200 ila walioajiriwa hawazidi 40 wengi wezi Hawa hujiita "26" Hawa ni wabaya hawamwangalii wa kumuibia na waliobaki wamejiajiri kama kuuza matunda nk

Tatizo letu kubwa tunakuja SA kuja kutafuta ajira tukiwa hatuna msingi tukija tunashtukia kuwa hakuna ajira

Wenzetu Wasomali, Ethiopians, Nigerians huwa wanakuja huku na mitaji yao hata ukiwaona Wasomali wameshikwa huko Tanzania pale wanakuwa wamejipanga wanahela wakija huku wanafungua biashara wanatoboa pia wanasaidiana na kiukweli wana hela ila kwa watanzania ni kinyume

Ushawahi sikia vurugu dhidi ya watanzania? Natives wa huku huwa hawamchukii mtu asiye na mafanikio na wabongo hatuna chochote ndiyo maana hawatufanyii vurugu kama kwa wanaijeria na wengine

Wabongo huku tunauana miezi miwili ilyopita Johannesburg watanzania wamemuua mtanzania mwenzao kisa Randi 8000 sasa imagine

Nia na madhumuni ya uzi huu wewe unaetaka kuja huku jipange uwe na mtaji huku sasa hivi ajira kwa wabongo hamna brothers wa miaka ya 90s Washa tuharibia CV pamoja na watoto wa Dar Hawa huja SA kufata life style tu hawana malengo ndiyo wanaofanya watanzania woote huku tuonekane wazurulaji pia ndiyo wanaongoza kwa kuuana Kisha kusafirisha maiti kurudi Dar

NB: Kila mtu anabahati yake kana unakuja njoo ujaribu bahati yako ila jipange kisaikolojia
nitakuha matembezini kwa week kadhaaa... utakuwa mwenyeji want I[emoji2]
 
Back
Top Bottom