Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

Game tunaweza kushinda sababu Uganda wameleta wachezaji wengi wa kikosi B, hata hivyo tuelewe uamuzi wa kusonga mbele haupo mikononi mwetu ni mpaka Lesotho apoteze au adroo.
 
Ndiyo mana tuko mkiani kwenye records za nchi wananchi wake wenye furaha, kwa hili swala lilivyoandaliwa hata kama timu ya Taifa kwa bahati mbaya ikashinda basi ujue wananchi wengi hawatafurahia, ikitokea tukapigwa kipigo cha mbwa koko basi kila mtu ataibuka kwa furaha, Waganda njooni mtupe furaha kwa kutupa kipigo kitakatifu. Bashite ni shida


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv lile bomba la mafuta si limetuunganisha sisi na uganda sasa ni ndugu....Kwa kuwa wenzetu tayari wana ziada sioni tukishindwa hapa
 
Nasimama na Tanzania kama mtanzania.
MUNGU ibariki Tanzania,
MUNGU ibariki Taifa stars.
 
siwez ficha mimi mshabiki wa simba kindaki ndaki tena sio kidogo ila nimekaa nimeangalia hili swala lilivyopelekwa sina wasi hii game tunafungwa tena nasema tunafungwa Tukutane hapa jukwaani jumapili jion




Sent using Jamii Forums mobile app
Gemu tulishanunua kelele unazoona watu wanajua tiyari kinachooonde kutokea ina maaana hujaona? Mipango ilishafanyika Ya kisiasa ndio maanaa tunasauti tunasubiria tu kuuza sura Kwa ushindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu eti kamati hiyo ina watu kama huyu? Mbona tunaitukana nchi hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Bashite na timu yake washindwe na walegee hadi mwili mzima. Wapigwe matobo hadi walie damu za wale wanaopotea bila uchunguzi. Wapigwe hadi waseme walikuwa wanafanya Nini Dom wakati Lisu ananyeshewa mvua ya risasi!!!? Ndiyo matamanio yangu, mengine ataamua Muumba.
 
Huyo Karia mwenyewe tayari kesha igeuza tff kuwa kijiwe cha siasa baada ya kutoa maneno ya kumdhalilisha mh lissu
In God we trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…