Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

Tufungwe tu
In God we trust
 
Hapo ni dua ya kutolewa tu
Kazi kweli kweli.........sijui tulikuwa wapi tangu mwanzo mechi ile ya Lesotho chamazi.....Tz tunapenda sana zima moto na shortcut,saiz tunaomba tushinde eti tunawaombea Lethoto wapigwe...Tz buana

In God we trust
 
Dawa yao ni kuwasusia hapo uwanjani tuishangilie Uganda maana Afrika ni moja
mkuu
ukimuona DAB kumbuka ya mkuu wetu wa TFF aliyo yasema pale Arusha baada ya mkutano alipokuwa anamzungumzia Michael Richard Wambura...

then Unganisha dot

In God we trust
 
Kwa kuwa dab ameingilia hii mechi matokeo yatakuwa ts 1 Uganda 3 katika dakika ZISIZOJULIKANA kama dakika 2 ts 1 dakika 85 Uganda wanarudisha 1 dakika ya 87 Uganda inampiga dab la 2 na dakika 89 dab anashindiliwa goli la 3 ndio dab atajuwa kumbe Karanga na muhogo zinafanya nguvu iongozeke uwanja was 60,000 kwa nil
 
Labda uishangilie wewe na ukoo wako
In God we trust
 
Cc:wakudadavua
In God we trust
 
Naomba Uganda ishinde mabao mengi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mitanzania inazungushwa kama saa!

Tumeacha ya Maalim Seif na safali hii tuko kwenye mpira!

Shikamo wana kitengo

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha utoto boss, kwahiyo utajadili siasa tu hakuna mambo mengine? Huo mpira haupo kweli mpaka uongee kama n jambo la kutunga?
 
kwenye mambo muhimu kama haya viongozi wa upinzani huwa hawaonekani wanaonekana kwenye kulaumu tu..

Viongozi wa upinzani hawana kimbelembele, hicho kiherere kiko huko ccm. Wanachofanya hao viongozi wa ccm ni kutaka kunenepeshea ng'ombe mnadani. Ni lini waliwahi kusaidia michezo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…