Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

He mmeona jezi za msalaba. Hiyo taifa stars ni ya wakristo wa mslaba tu. Naomba jezi zibadilishwe
 
Wauaji wamejificha kwenye timu ya taifa. Mungu anaona mikono yao ilivyo jaa damu za watanzania wenzao kwajili ya kujiimarisha katika madaraka. Najisi hii Mungu haridhiki nayo kamwe. Atawaharibu siku moja wao pamoja na wanao waunga mkono. Tuwe waangalifu katika hili, tutalia sikumoja hasira za Mungu zitakapo fanya kisasi juu ya damu zilizo mwagika. Jiepushe ndugu usije ingia kwenye mtego wa shetani. Wakala wake akina DAB wapo making kuwateka watu wa Mungu wapate kuangamia nao.
 

Hakuna kitu anachofanya Bashite akafanikiwa.


Kama Bashite ndo mwenyekiti wa kama ya ushindi ya T/stars basi jua jwamba TUMESHAFUNGWA tayari.

Tufungwe tu tuwe na amani
 
Imekuwa ya kanisa, nchi hii inaongozwa na kanisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…