Wakati huohuo huyo magugumaji sijui naye ajiandae kupokea simu kutoka kwa Rais wa FiFa pia.Hii mechi tungeimaliza kidiplomasia kwa magu kupiga simu kwa mu7 mambo yakaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlivyomletea Manji figisu ana ham ya mpiraKwani MO na Manji hawamo kamatini?!!
TetemaMi nadhani kama hatuna uwezo wa kuifunga Uganda,tupigwe tuu turudi kucheza kiduku ndio talent yetu kuu
Kichekesho kingine,rais wa tff ni mjumbe,wakati yeye ndiye alipaswa awe mwenyekiti,bora asingekuwemo kwenye hiyo kamatiMbona watanzania wameshaliona hilo angalizo kitambo ndio maana huoni mzuka...wamejazana mle wanalumumba watupu..ni bahati mbaya Rais wa TFF nae ni kibaraka wa lumumba na mbaya zaidi hanaga USHAWISHI wowote katika soka letu...kwa walivyokosea kujazana humo kwenye kamati tusitegemee kuona hamasa yoyote au kujaa uwanja jumapili...
nikweli hili la kuzingatia sana, TFF wajitahidi kuwapa uenyekiti watu wanaojielewa, sasa bashite anahamasisha afu full kupiga mayowe ya magufuli mara oooh kwanza kamati nzima ni watu wa chama fulani sasa hio inaleta makundi kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Msomali aliyepewa kuongoza Federation yetu ya Mpira ni Boya sanaHeshima kwenu wanajamvi.
Natoa tahadhari kwa TFF na watanzania kwa ujumla kuwa makini na propaganda za kisiasa zinazofanywa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kila anapozungumzia maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhididi ya Uganda.Makonda anatumia nafasi aliyopewa ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kumsifia rais na serikali badals ya kuwahamasisha watanzania kuisapoti timu ya taifa. Natoa angalizo kwa TFF kuacha kuwateua wanasiasa kwenye masuala ya mpira kwani kunawagawa watanzania badala ya kuwaunganisha.
wewe utakua Qumer au MqunduUpuuzi mtupu, hama nchi kama uko na Rais wako tofauti na Magufuli mfuate hukohuko, Tanzania iko na mkuu wa nchi mmoja tu, anayehisi kumtambua ni kuligawa Taifa ahame nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mechi Bila kuimaliza kidiplomasia tunafungwaHii mechi tungeimaliza kidiplomasia kwa magu kupiga simu kwa mu7 mambo yakaisha
Sent using Jamii Forums mobile app