Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

Angalizo: Makonda akiendeleza siasa kwenye maandalizi ya Taifa Stars atawagawa watanzania

Mbona watanzania wameshaliona hilo angalizo kitambo ndio maana huoni mzuka...wamejazana mle wanalumumba watupu..ni bahati mbaya Rais wa TFF nae ni kibaraka wa lumumba na mbaya zaidi hanaga USHAWISHI wowote katika soka letu...kwa walivyokosea kujazana humo kwenye kamati tusitegemee kuona hamasa yoyote au kujaa uwanja jumapili...
Kichekesho kingine,rais wa tff ni mjumbe,wakati yeye ndiye alipaswa awe mwenyekiti,bora asingekuwemo kwenye hiyo kamati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nikweli hili la kuzingatia sana, TFF wajitahidi kuwapa uenyekiti watu wanaojielewa, sasa bashite anahamasisha afu full kupiga mayowe ya magufuli mara oooh kwanza kamati nzima ni watu wa chama fulani sasa hio inaleta makundi kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app

Yani hawa bwana. Mbona hawasomi alama za nyakati! Watanzania hawahamasishwi tena huko mipirani, wala kwa Lowassa kurudi CCM.. Watu wana maisha magumu jamani, hakuna kinachoshikika huko mitaani. Kila kona ni pagumuu. Hili ndilo litalowatoa madarakani watu fulani hiyo 2020. Na wala hakuna mtu wa TFF, Lowassa na familia yake, waigiza movies za kibongo, etc.. wataweza kusaidia. [emoji35][emoji35][emoji35]
 
Upuuzi mtupu, hama nchi kama uko na Rais wako tofauti na Magufuli mfuate hukohuko, Tanzania iko na mkuu wa nchi mmoja tu, anayehisi kumtambua ni kuligawa Taifa ahame nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upuuzi mtupu, hama nchi kama uko na Rais wako tofauti na Magufuli mfuate hukohuko, Tanzania iko na mkuu wa nchi mmoja tu, anayehisi kumtambua ni kuligawa Taifa ahame nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwenu wanajamvi.
Natoa tahadhari kwa TFF na watanzania kwa ujumla kuwa makini na propaganda za kisiasa zinazofanywa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kila anapozungumzia maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhididi ya Uganda.Makonda anatumia nafasi aliyopewa ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kumsifia rais na serikali badals ya kuwahamasisha watanzania kuisapoti timu ya taifa. Natoa angalizo kwa TFF kuacha kuwateua wanasiasa kwenye masuala ya mpira kwani kunawagawa watanzania badala ya kuwaunganisha.
Huyu Msomali aliyepewa kuongoza Federation yetu ya Mpira ni Boya sana

Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
 
Hakuna siku nilifurahi kama Simba kufungwa na Kagera mbele ya Jiwe.. Nilimuonya Manara kuhusu kuingiza siasa kwenye mpira tena nikamwambia analeta nuksi.. Hili la Uganda tumewaleta watu walio na najisi matokeo yake tutayapata.. Mimi nitakuwa huko kwenye pori.la akiba Mkungunero nikila kwelea kwelea.
 
Back
Top Bottom