Halafu mkifika misri mkatoe point????Hii mechi tungeimaliza kidiplomasia kwa magu kupiga simu kwa mu7 mambo yakaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tuipende nchi yetu tuiombee stars ishinde lkn next time wasituwekee watu kama Makonda kuongoza taifa, nasikia alijipendekeza tu.Mkuu, Uganda wakicheza soka lao la siku zote,
Stars haishindi..
Labda kuwe kuna makubaliano huko pembeni na ole CAF wasigundue..
Uwepo wa Bashite pale tayari ni NAJISI..
Nimesikia-sikia tetesi kuwa hata MO kwenye hivi vikao vya hii Kamati ambapo pia ni mjumbe haendi..
Ukakae meza moja na mtesi wako..??Haiwezekani.
Tatizo ikishinda Stars tutaambiwa ni JUHUDI nk nk..
Go Cranes Go.
Sawa Mkuu nimekupata vema.Mkuu tuipende nchi yetu tuiombee stars ishinde lkn next time wasituwekee watu kama Makonda kuongoza taifa, nasikia alijipendekeza tu.
kama ulivyosema wasithubutu kuongea na Uganda kuhusu kupanga matokeo, athari zake ni mbaya sana kwa soka letu. Kipindi hiki CAF bila kuwasahau FIFA wanafuatilia nyendo zote hasa za wajumbe wa kamati ndani na nje ya nchi, niwakumbushe ni juzi tu refa wetu wa FIFA Orden Charles Mbaga amefungiwa maisha kwa kupanga matokeo.
cc W. J. Malecela mfikishie Bashite ujumbe huu.Bashite damu ya watz inamlilia.. hana namna zaidi ya kujipachika kila sehemu ajisafishe..
Hatoweza .. T.Stars haitaweza chini ya huyu muuaji.
Nitasimama na Uganda the cranes siku ya jpil.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima kwenu wanajamvi.
Natoa tahadhari kwa TFF na watanzania kwa ujumla kuwa makini na propaganda za kisiasa zinazofanywa na mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda kila anapozungumzia maandalizi ya mchezo wa Taifa Stars dhididi ya Uganda.
Makonda anatumia nafasi aliyopewa ya mwenyekiti wa kamati ya maandalizi kumsifia rais na serikali badals ya kuwahamasisha watanzania kuisapoti timu ya taifa.
Natoa angalizo kwa TFF kuacha kuwateua wanasiasa kwenye masuala ya mpira kwani kunawagawa watanzania badala ya kuwaunganisha.
Pumbavu wewee..Hakuna Watu Wapumbavu Hapa Tanzania Kama Wafuasi Wa Chadema Yaani Taifa Stars Wafungwe Kwa Ajil Ya Makonda? Kama Hamumpendi Makonda Hameni Dar Es Salaam Basi Achen Upumbavu Mabwege Nyie
kasema stars ikishinda anashusha bei za vvinywaji kwa 50% kwa 6 hours!huyu jamaa anajipendekeza hadi huwa anaboa sasa
Hakuna Watu Wapumbavu Hapa Tanzania Kama Wafuasi Wa Chadema Yaani Taifa Stars Wafungwe Kwa Ajil Ya Makonda? Kama Hamumpendi Makonda Hameni Dar Es Salaam Basi Achen Upumbavu Mabwege Nyie
Mimi sina chama chochote ila siwezi shangilia taifa stars inayofanyiwa hamasa na wakina sepetu.... Na ninaomba kwa mungu taifa stars ipigwe magoli ya kutosha ili tuachane na tabia ya kuzima motoHakuna Watu Wapumbavu Hapa Tanzania Kama Wafuasi Wa Chadema Yaani Taifa Stars Wafungwe Kwa Ajil Ya Makonda? Kama Hamumpendi Makonda Hameni Dar Es Salaam Basi Achen Upumbavu Mabwege Nyie
Sepetu na jb wapi na wapi na kuijua taifa stars.....Mimi sina chama chochote ila siwezi shangilia taifa stars inayofanyiwa hamasa na wakina sepetu.... Na ninaomba kwa mungu taifa stars ipigwe magoli ya kutosha ili tuachane na tabia ya kuzima moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisingependa tudungwe lakini mpira wetu hauhitaji siasa za kina BASHITE
Ni Kupoteza muda kutaka Kuhoji Mahusiano ya Paul Makonda kama RC, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli na Serikali ya Awamu hii ya Awamu ya Tano ( 5 ) ambayo ipo chini ya CCM ambapo Wawili hao ni sehemu ya Chama na wana umuhimu Wao mkubwa tu huku kila wanachokifanya lazima ujue kuwa wanawakilisha vyema Ilani ya Chama. Kwahiyo ili labda uridhike ulikuwa unataka Makonda kila mara awe anamtaja na anamsifia Freeman Mbowe? Kwani CHADEMA tayari imeshashika Dola? Hivi ni mara ngapi huwa tunawaona Wanasiasa wote bila kujali Itikadi zao za Vyama wakijumuika pamoja pale Uwanja wa Taifa kuzishabikia Timu zetu pendwa Simba na Yanga hadi na Timu yetu ya Taifa na huwa hakuna huo Mgawanyiko wako unaojaribu Kuuhubiri hapa? Subirini Kwanza CCM itekeleze Ilani yake kwa Vitendo na kama nanyi pia ipo Siku mtakuja Kushika Dola basi mkiwa mnafanya yenu wala Watu wa CCM hawatowaingilia. Sijaona bado Kosa lolote kwa Mkuu wa Mkoa Paul Makonda juu ya hili sana sana naona tu ' Visununu ' vingi kutoka kwa Watu wenye Chuki nae Kisiasa, Kifikra na Kimtazamo. Kibinadamu Makonda ( RC ) ana mapungufu yake ila naona sasa tunazidisha hivyo tupunguze, tubadilike na mwacheni afanye Kazi yake.