Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Yap,,sifurahii draw bali nasikitika kumkosa Ahly kwa Mkapa yani kaponea chupuchupu zilikua zinagonga mwamba.Hivi kweli unafurahia hii draw kwa mkapa na Al Ahal ikiwa mna mechi ya marudiano kwao 'Masri'? Kabisa yaani?
Kvp yatuume sisi ndo wenye timu au nyinyi wenye timu mbona umeanza kwa kujutia hiyo drooYap,,sifurahii draw bali nasikitika kumkosa Ahly kwa Mkapa yani kaponea chupuchupu zilikua zinagonga mwamba.
draw ni hatua pia hasa ukizingatia Al Ahly ni timu kubwa.matoeo ya leo yamewauma sana Utopolo waliotabiri Simba itafungwa hii mechi.
Ndio Simba kapata goli mbili,inamaana Al ahly wanaruhusu magoli,Wangeruhusu goli moja tungesema Simba kabahatisha, lakini goli mbili wameruhusu na pia Simba akosa magoli mengine ya wazi.Hivi kweli unafurahia hii draw kwa mkapa na Al Ahal ikiwa mna mechi ya marudiano kwao 'Masri'? Kabisa yaani?
Tunajutia draw kwasababu kuna muda tulikua tunaongoza goli mbili.ilipaswa tulinde ushindi.umewai kucheza mpira lakini,au ulikulia kuchunga ng'ombe kijijini?.Kvp yatuume sisi ndo wenye timu au nyinyi wenye timu mbona umeanza kwa kujutia hiyo droo
Kvp yatuume sisi ndo wenye timu au nyinyi wenye timu mbona umeanza kwa kujutia hiyo droo
Aliyeponea chupuchupu ni simba au Al ahly?Yap,,sifurahii draw bali nasikitika kumkosa Ahly kwa Mkapa yani kaponea chupuchupu zilikua zinagonga mwamba.
draw ni hatua pia hasa ukizingatia Al Ahly ni timu kubwa.matoeo ya leo yamewauma sana Utopolo waliotabiri Simba itafungwa hii mechi.
..Nisome mimi ndo nilio andika mbona hauna akili wewTunajutia draw kwasababu kuna muda tulikua tunaongoza goli mbili.ilipaswa tulinde ushindi.umewai kucheza mpira lakini,au ulikulia kuchunga ng'ombe kijijini?.
Mnaumia nyinyi kwasababu mlitaka tufungwe,soma hapa
👇
Ushauri: Simba wagomee mechi na Al Ahly
Jana nilifanya time traveling kuona matukio ya mbele ghafla niliona tarehe 20 October. Mnyama (kolo) aka Simba [emoji250] [emoji250] amekufa Kwa mvua kubwa ya magoli na miamba wa soka Al ahly. Matokeo yalikuwa hivi Al ahly 8 __0 Simba Nb: Makolo mwendo wameumaliza[emoji23][emoji23][emoji23]...www.jamiiforums.com