atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Katiba mpya ni kilio na kipaumbele cha wanasiasa walafi na wenye uchu wa madaraka hasa chadema, wananchi kilio Chao na kipaumbele ni umeme wa uhakika, maji, na huduma nzuri za afya na eli
Nyie watu duh! Miaka 60 plus, hivyo ulivyotaja vimefanikiwakwa kiasi gani?.msiwe wapumbavu tumieni ufahamu wenu vizuri...Tunaishi nchi moja tunaona, tuna AKILI😳Katiba mpya ni kilio na kipaumbele cha wanasiasa walafi na wenye uchu wa madaraka hasa chadema, wananchi kilio Chao na kipaumbele ni umeme wa uhakika, maji, na huduma nzuri za afya na eli
Akili zako zinatosha kuvukia barabara tu! unajua zaidi ya miaka 60 ya uhuru kuna watu hawana maji safi na salama, hakuna madaraja wala barabara, mfumo mbovu wa elimu,hakuna uwajibakaji wa viongozi haya na mengine mengi ni matunda ya katiba mbovu. Kazi kuimbiana mapambio ya sifaKatiba mpya siyo kipaombele cha watanzania. Ndio maana hakuna bibi yeyote wa kijijini anayeweza kukwambia kuwa kero yako ni katiba mpya.
Kwa pigo lile, akauvunja ule mwamba.Yule kiumbe Umsolopagaaz alisema
Pigo la mwisho
pigo lililonyooka
Hapa ndiyo unapodhihirisha ukilaza wako.Katiba mpya siyo kipaombele cha watanzania. Ndio maana hakuna bibi yeyote wa kijijini anayeweza kukwambia kuwa kero yako ni katiba mpya.
Kwa maslahi ya Katiba ya CCM inayoongoza Nchi kwa upande mwingine ni Katiba ya CCM ya Mwaka 1977Maamuzi mengi mnayoyafanya (CCM) ni kwa maslahi mapana ya chama na walioshika madaraka.
Huyu Lucas mwashambwa ni roboti la ccm.Dah!
Nimeandika mara nyingi sana na kufuta! Itoshe kusema, wewe ni miongoni mwa watu wachache wasiolipenda Taifa letu
Ni wale wenye kusema, nchi hata ikiibiwa hovyhovyo, haibiwi baba yako!
Wewe ni mtu wa hovyo kuwahi kutokea
Zoezi la kuweka maji, umeme na huduma zote za muhimu ni endelevu, miaka 60 nyuma kuna baadhi ya wilaya zilikuwa ni mapori, pia miaka 30 ijayo kuna mapori yatajaa watu, so itakua ni ajabu kwa mtu huyo mwaka 2060 kushangaa kwamba kwanini ktk eneo hili hamkuweka maji mwaka 2025!Nyie watu duh! Miaka 60 plus, hivyo ulivyotaja vimefanikiwakwa kiasi gani?.msiwe wapumbavu tumieni ufahamu wenu vizuri...Tunaishi nchi moja tunaona, tuna AKILI😳
Haya jitie dole unuse then ujipongezeNakuhakikishia Mimi CCM tunayo Kwa zaidi ya karne ,kubali ukatae huo ndio ukweli
Tuliisoma wasifuwake na kuziona picha yake tulioliona Hilo.Hapa ndiyo unapodhihirisha ukilaza wako.
Haya fanyeni jambo la akili sasa. Mchakato wa kupata Katiba Mpya uanze mapema kabla ya uchaguzi ujao 2025 ili kuepusha yanayoepukika. Angalizo kwenu ni kwamba Katiba hii itakapokuja kutumia dhidi yenu hakika hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe kwenye ghorofa la barafu mlilolijenga tangu uhuru hadi sasa.[emoji419][emoji375]Nachelea kuita ONYO kwa CCM.
Angalizo hili linaweza likawa la mwisho yaani msipoangalia kuna dalili mbaya sana ambayo itawagharimu na kutikisa Afrika.
Kuendelea kukumbatia Katiba inayopigiwa kelele na wananchi kuwa haifai kwa mfumo wa siasa za vyama vingi, ni sawa na kulalia kitanda cha misumari huku godoro liliwa ni kipande cha gunia.
Nimeona, yes nimesikia masikioni kwangu. Inawezekana sauti hii ilikuwa kutoka upande wa pili wa ukuta ambapo sijaweza asilani kufahamu nani alikuwa mzungumzaji. Lakini sauti inasema kuwa KIPIMO KILE MLICHOWAPIMIA WENGINE NDICHO MTAKACHOPIMIWA NA KUJAZWA KWA KUFURIKA.
Katiba hii tuliyonayo sasa ambayo mnaamini ndiyo ulinzi wa Taifa letu ni Katiba inayotoa maelekezo na maagizo muhimu (japo kwa uchache) ya maongozi ya nchi hususani kwenye Haki na Wajibu. Bahati mbaya sana mmeweka pamba masikioni na kujiweka kwenye daraja la kuwa wenye akili na ufahamu kuliko raia wote wa nchi hii. Maamuzi mengi mnayoyafanya (CCM) ni kwa maslahi mapana ya chama na walioshika madaraka.
Siku hazigandi, kwa sababu baada ya kiangazi huja mvua, mvua inaweza kugharikisha na kuporomosha milima kwa nguvu itokanayo na matone ya maji yaliyojikusana sehemu moja na kusaka njia ya kupita.
Haya fanyeni jambo la akili sasa. Mchakato wa kupata Katiba Mpya uanze mapema kabla ya uchaguzi ujao 2025 ili kuepusha yanayoepukika. Angalizo kwenu ni kwamba Katiba hii itakapokuja kutumia dhidi yenu hakika hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe kwenye ghorofa la barafu mlilolijenga tangu uhuru hadi sasa.
Sauti ya tindo za wajenzi imezidi sauti za waombolezao. Fahamuni kwamba waliao na kusugua maogti kwa nchi hii siyo wale mnaowapandisha kwenye majukwaa yenu ya kisiasa na kiserikali wakiwaombea kwa mbwembwe na ufahari wa kufaidi juisi ya watawala.
Ni mtu wa kawaida sana tena mdogo.
Sina jipya zaidi ya kufikisha ujumbe niliousikia kwa masikio yangu mawili bila kumuona mnenaji
CC Mshana Jr