ukweli,mie siwezi nikaprove ila ukiwa na hizi features utaonewa sana mashuleni kwenye playground nk....
ila nimeanza kuamini,kuwa hujiamini au na wewe una mpua mkubwa kweli???LOL:laugh::laugh:
Nimetoa mfano.
Ndo nakwambia mie siwezi kuchagua sura kama yako you are not good looking. Full Stop
karibu DA,naona hukwenda mbali LOL
Niende wapi na Bacha ananiletea mchezo hapa.
Eti tusichague kisa nini unakwenda na mtu out huku unaona aibu
Unamwambia nakuja darling tangulia tu, mkifika unakaaa meza moja lakini mbaliii kama hamjuani
Nani anataka mambo hayo hata kusema this is my huby unaogopa aakkk mwaya kuchagua muhimu eeh
sawa pauline,,,lkn bad looking kama yupo atachaguliwa na nani?
utatafuta hizo good looking na usipate,
wewe bora ujilete kwangu tu nikupe hiyo raha ya milele!!!!!!!!
Una look bad nini mzee mbona umekuwa mkali ghafla???
sawa pauline,,,lkn bad looking kama yupo atachaguliwa na nani?
Niende wapi na Bacha ananiletea mchezo hapa.
Eti tusichague kisa nini unakwenda na mtu out huku unaona aibu
Unamwambia nakuja darling tangulia tu, mkifika unakaaa meza moja lakini mbaliii kama hamjuani
Nani anataka mambo hayo hata kusema this is my huby unaogopa aakkk mwaya kuchagua muhimu eeh
kumbe ile falsafa ya vidumu vitatu,
hapa ndo ina apply kwa sana eeeeee? lol...
dena najua we ni badlooking utachaguliwa na nani sasa ikiwa mapenzi yanaangalia kigezo hicho tu?
Huwezi nipa raha wewe hata kidogo toka hapa si ni wewe siku ile ulikuwa unasema una kibamia na unajua kukitumia vyema??
Mie nataka aaaiii
kumbe ile falsafa ya vidumu vitatu,
hapa ndo ina apply kwa sana eeeeee? lol...
Vya nini? Kwako labda maana unaonyesha unapenda sana hiyo kitu aisee
wiselady, bad looking ndo ipi hiyo jamani,
sote tumeumbwa kwa sura na mfano wa mwenyezi mungu jamani!!!!!
kumbe kwenye kuangalia good looking mnaangalia na mshobobo eeeeh?
hii sredi ni ya kibaguzi, niombeni razi kabla sijareport abuse
Ha ha ha umenichekesha mpaka nimecheka kwa nguvu nikaangukia na key board
mumesamehewa. enhee tuendeleeni sasa sisi sura za gobole tukalale wapi?Naomba radhi
mambo JF...
Nimesikia tu sina uhakika na hili,kuwa moja ya sababu zinazofanya watoto kuwa bullied mashuleni ni kutokana na kuwa na facial features ama maumbile yaliyo tofauti kidogo,kwa mfano masikio makubwa,lol pua ndefu ama unene uliozidi...
nilikuwa natoa tu angalizo kwa wana JF wenzangu tunapochagua wenzi wa maisha then,tuhakikishe tunachagua mbegu iliyo bora lol,go for someone who is really good looking ili hata watoto watakaozaliwa nao watoke wazuri kua void bullying........
msinishushue mie nimesikia tu..:msela::msela::msela: