Vya nini? Kwako labda maana unaonyesha unapenda sana hiyo kitu aisee
si umesema hapo juu, kwamba unataka mtu utakaeweza kumtambulisha machoni kwa watu!!!!!,
sasa kama si mzuri kitandani, basi inabidi umtafute wa kutimiza hilo!!!!!!loll..
hii sredi ni ya kibaguzi, niombeni razi kabla sijareport abuse
Muhimu sana aisee
kitu nashkuru mungu umejaliwa vitu vingine vya thamani zaidi ya huo ugudluking anaosisitiza pauline,kwa hiyo kuchaguliwa hapana shaka
Naona unaungana na Bacha haya bana
sasa hiyo namna ya kugundua kuwa huu mshobobo ndo unaokufaa,
sijui utatumia njia gani kwasababu huwezi ukaziona barabarani tu!!!!!!!
hebu nieleze DA, mpaka uje upate ule unaokufaa, utafanyaje?
hivi dena badluking na gudluking tunamtofautishaje?ww tu ndo niliweza kutambua,,,lol
:car::car::car: napita wajameniKwasasa kazi hiyo mie nishaimaliza sawa??
Na bahati yangu kuwa ni gudliking na huko chini ya kitovu yoko poa
Kwasasa kazi hiyo mie nishaimaliza sawa??
Na bahati yangu kuwa ni gudliking na huko chini ya kitovu yoko poa
hehehe namsubiria WOS adondoshe madongo, naona tayari ameweka intavyuu fupi kwa mleta mada. yaani anasema sisi sura mbovu tunaharibu reception ya watoto na tunasababisha bullying shuleni?. dah! mungu atatulipia bana!vile umeambiwa ww ni gudlukin hakuna haja ya kuombwa radhi maana umesifiwa
Hope Genetics was that Kind...., Unene sio genetically..., pia mimi naweza nikawa na pua nzuri ndefu lakini ikichanganyikana na yako bapa ikapatikana kitu tofauti.., Genetics pia zinaweza zikajump generations..., ndio maana unaona mtu anafanana na babu zake..., pia unaweza Also Big ears might look good on someone.., mfano imagine Obama na small ears.
All in all nikipata Msichana mrembo tashukuru sana ila kwanza taangalia tabia za huyo mama na malezi yake kwa wanangu nisije nikapata vi-handsome boys na vi-beautifull girls vyenye tabia za ajabu au nilivyovilea peke yangu sababu ya kudivorce na mama yao..
kamanda wewe ni gud luking nini? mbona haujakasirika?Ngoja AD wangu aje kwanza hapa
Nina bahati wangu gudluking na huko 6x6 kwa bacha yuko poa pia
Mkuu mimi nina uhakika wa kutoa kitu ambacho hakihitaji kuthibitishwa na TBS au kuwekewa ISOhehehe namsubiria WOS adondoshe madongo, naona tayari ameweka intavyuu fupi kwa mleta mada. yaani anasema sisi sura mbovu tunaharibu reception ya watoto na tunasababisha bullying shuleni?. dah! mungu atatulipia bana!
hehehe namsubiria WOS adondoshe madongo, naona tayari ameweka intavyuu fupi kwa mleta mada. yaani anasema sisi sura mbovu tunaharibu reception ya watoto na tunasababisha bullying shuleni?. dah! mungu atatulipia bana!
Kamanda kwenye kufytatua i wont go wrongkamanda wewe ni gud luking nini? mbona haujakasirika?
Unajua sana acha kuniyeyusha ni kama yulee O... alivyo ndo badluking na yule wangu A... ndo goodluking una swali lingine??
kamanda wewe ni gud luking nini? mbona haujakasirika?