Angalizo...tunapochagua...

kwa maoni yangu haisaidii hata uolewe na( Michael Scofield, played by Wentworth Miller ) wa prison break

in western countries kweli ukiwa mnene unabaguliwa ile mbaya..
watoto mashuleni wanaonewa sana..

lakini sehemu kama shule niliyosomea Tz
sana sana tulikuwa tunaangalia akili na utajiri..
tena watoto waliokuwa wazuri ndo walikuwa
wanaonewa ...

kwa hiyo mie naona kama unabahati uzae na mtu anayetaka kuwa baba na kumtunza mtoto wake
kuliko kuangalia sura tu..

samahani Pauline ..
 




I can never go wrong mtoto akitoka hapo ni balaa
 

mie sijui mambo ya nasaba,nilidrop out shule baada ya kunishinda,nipe darasa WOS...
labda hicho kigezo cha goodlooking kimewakwaza wengi,okey lemme rephrase lets go for guys who are 'average' lol,tusiende kwa watu ambao obvious wana features ambazo ni mushkeli lol.......watu mna hasira ngoja nijifiche.:behindsofa:
 

naomba darasa kidogo hapo kny average people mpendwa
 
umeona eeeeh?
lazima tuandamane mkuu! yaani dah! hii sredi imetuzalilisha sana. halaf ametuzalilisha mbele ya dena amsi na wiselady bana. hakyanani hasira zangu naweza nikauza laptop kwa mkopo
 

Acha woga mie nipo nitakusaidia
 

thanks AD, ni kweli usemayo ila nikikumbuka hata wenye vitu kama pua kubwa,masikio walikuwa wananyanyaswa bwana .....wengine ndio wanakupa na jina kabisaaa...utasikia akimtusi mwenzie pua lile kama la pauline,LOL:laugh::laugh:
 
lazima tuandamane mkuu! yaani dah! hii sredi imetuzalilisha sana. halaf ametuzalilisha mbele ya dena amsi na wiselady bana. hakyanani hasira zangu naweza nikauza laptop kwa mkopo

Ukweli unaumwa eeehhh poleni
 
hahaha!nimecheka sana kumbe tunatakiwa kukasirika!si ndo itakuwa mbaya zaidi,,,lol
ukisoma kiundani sana utaona kwamba sisi tunaitwa waharibifu wa DNA kwenye hii sredi. think! wiselady think!
 
mnh lipi hilo marytina?:twitch:
Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.(HILI NDIO TATIZO LANGU)
 
lazima tuandamane mkuu! yaani dah! hii sredi imetuzalilisha sana. halaf ametuzalilisha mbele ya dena amsi na wiselady bana. hakyanani hasira zangu naweza nikauza laptop kwa mkopo

mi mwenyewe hapa nimedhalilika,,,pauline na dena watutake radhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…