WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Kamanda kwenye kufytatua i wont go wrong
ww na afro ni badluking au gudluking?just curious
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda kwenye kufytatua i wont go wrong
:car::car::car: napita wajameni
kwa maoni yangu haisaidii hata uolewe na( Michael Scofield, played by Wentworth Miller ) wa prison break
in western countries kweli ukiwa mnene unabaguliwa ile mbaya..
watoto mashuleni wanaonewa sana..
lakini sehemu kama shule niliyosomea Tz
sana sana tulikuwa tunaangalia akili na utajiri..
tena watoto waliokuwa wazuri ndo walikuwa
wanaonewa ...
kwa hiyo mie naona kama unabahati uzae na mtu anayetaka kuwa baba na kumtunza mtoto wake
kuliko kuangalia sura tu..
samahani Pauline ..
tafadhali usikwepe swali,,nieleweshe kama vp niitie pauline
Pauline dear,
Samahani usione nakushushua..hapana.Ni katika kusaidiana tu:
1. Kigezo cha good looking ni nini?
2. Ulisoma biology angalau kidgo? Unaelewa mambo ya genetics au nasaba?
Nijibu haya mawili halafu tuendelee.
Asante na samahani kama nimekukwaza.
Nirudi kufanya nini wakati niko na ADNa usirudi tena
kamanda wewe ni gud luking nini? mbona haujakasirika?
mie sijui mambo ya nasaba,nilidrop out shule baada ya kunishinda,nipe darasa WOS...
labda hicho kigezo cha goodlooking kimewakwaza wengi,okey lemme rephrase lets go for guys who are 'average' lol,tusiende kwa watu ambao obvious wana features ambazo ni mushkeli lol.......watu mna hasira ngoja nijifiche.:behindsofa:
lazima tuandamane mkuu! yaani dah! hii sredi imetuzalilisha sana. halaf ametuzalilisha mbele ya dena amsi na wiselady bana. hakyanani hasira zangu naweza nikauza laptop kwa mkopoumeona eeeeh?
mie sijui mambo ya nasaba,nilidrop out shule baada ya kunishinda,nipe darasa WOS...
labda hicho kigezo cha goodlooking kimewakwaza wengi,okey lemme rephrase lets go for guys who are 'average' lol,tusiende kwa watu ambao obvious wana features ambazo ni mushkeli lol.......watu mna hasira ngoja nijifiche.:behindsofa:
kwa maoni yangu haisaidii hata uolewe na( Michael Scofield, played by Wentworth Miller ) wa prison break
in western countries kweli ukiwa mnene unabaguliwa ile mbaya..
watoto mashuleni wanaonewa sana..
lakini sehemu kama shule niliyosomea Tz
sana sana tulikuwa tunaangalia akili na utajiri..
tena watoto waliokuwa wazuri ndo walikuwa
wanaonewa ...
kwa hiyo mie naona kama unabahati uzae na mtu anayetaka kuwa baba na kumtunza mtoto wake
kuliko kuangalia sura tu..
samahani Pauline ..
lazima tuandamane mkuu! yaani dah! hii sredi imetuzalilisha sana. halaf ametuzalilisha mbele ya dena amsi na wiselady bana. hakyanani hasira zangu naweza nikauza laptop kwa mkopo
ukisoma kiundani sana utaona kwamba sisi tunaitwa waharibifu wa DNA kwenye hii sredi. think! wiselady think!hahaha!nimecheka sana kumbe tunatakiwa kukasirika!si ndo itakuwa mbaya zaidi,,,lol
Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.mnh lipi hilo marytina?:twitch:
Nirudi kufanya nini wakati niko na AD
hapa hauhitaji kupima na tbs wala iso certification+++++++++++++++++
========???????????????????????
lazima tuandamane mkuu! yaani dah! hii sredi imetuzalilisha sana. halaf ametuzalilisha mbele ya dena amsi na wiselady bana. hakyanani hasira zangu naweza nikauza laptop kwa mkopo