Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
pia wanajenga jengo la health scence so probably this year wataanzisha M.D
MD...!? u cnt be serious.. kiukwel md inahitaj kujipanga.. co kirahisi hvo
MD...!? u cnt be serious.. kiukwel md inahitaj kujipanga.. co kirahisi hvo
soma vizuri hio ndio utajua kama UDSM wanataka kuanzisha M.Dhttps://www.udsm.ac.tz/sites/defaul...E IN TIANJIN MEDICAL UNIVERSITY CHINA (1).pdfMD...!? u cnt be serious.. kiukwel md inahitaj kujipanga.. co kirahisi hvo
Hapo tutarajie SUA kufa kibudu. vijana wengi watakimbilia UDSM chuo bora E and C Africa
soma vizuri hio ndio utajua kama UDSM wanataka kuanzisha M.Dhttps://www.udsm.ac.tz/sites/defaul...E IN TIANJIN MEDICAL UNIVERSITY CHINA (1).pdf
mkuu hiyo link ni scholarship ya kwenda kusoma china na sio kuanzisha M.D
MD...!? u cnt be serious.. kiukwel md inahitaj kujipanga.. co kirahisi hvo
Kwa nyie vijana wa jana chuo kikuu cha muhimbili kilikuwa faculty ya udsm hapo mwanzo
Wanaongeza college, hao wanafunzi watalala wapi? Kwanin wasiongeze na hostels za wanafunzi?