tikitaka men
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 216
- 58
kaka tzhumoally embu tujuze mkuu mwaka huu watachukua first intake Md hapo UDSM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo tutarajie SUA kufa kibudu. vijana wengi watakimbilia UDSM chuo bora E and C Africa
kaka tzhumoally embu tujuze mkuu mwaka huu watachukua first intake Md hapo UDSM?
Mkuu mbona collage ya agriculture siioni kwenye web , naona kauli ya profesa tu ikisisitiza kuanzisha mwaka huu ila hawaja ruhusu kuiomba.KAMA NIMEONA VIBAYA AU TOFAUT MSAADA
Kama SUA itapotea, itapotea tu kwa sababu kama ina weak genes/constitutions, kumbuka Darwin na "survival of the fittest"Hii mimi sijaipenda, kwani SUA inaweza kupotea, nashauri serikali ilipinge hili
bonge la point
Wanaongeza college, hao wanafunzi watalala wapi? Kwanin wasiongeze na hostels za wanafunzi?
Unapokuwa na watu wakufanya hiyo kazi maana yake college ipo tayari, kinachosubiriwa ni mambo madogo sana. Sana sana mwaka huu wanachukuwa wanafunzi kwa sababu huu ni mchakato na watakuwa wameanda mtaala wa kufundishia na
Unataka kuniambia wameanza kupokea mwaka huu kwa kozi za kilimo? na ni kozi gani hiyo? nijuze tafadhali. . !!!
Kama SUA itapotea, itapotea tu kwa sababu kama ina weak genes/constitutions, kumbuka Darwin na "survival of the fittest"
Hapo tutarajie SUA kufa kibudu. vijana wengi watakimbilia UDSM chuo bora E and C Africa