DOKEZO Angalizo usafiri wa Mwendokasi

DOKEZO Angalizo usafiri wa Mwendokasi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

UniqueMan

Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
69
Reaction score
27
Habarini wakuu!

Ndugu abiria mnaotumia mwendokasi kuwa makini, kuna baadhi ya wanaokatisha tiketi kwenye vituo siyo waaminifu, wanauza tiketi iliyokwisha tumika tayari na wengi wetu hatuangalii muda!

Wanachofanya baada ya kumpa pesa ni kujifanya kutoa tiketi na kuichana, kumbe ana tiketi yake ameshaiandaa (mara nyingi wanafanya haya kuanzia jioni).
 
Hili ungelifikisha kwenye ofisi za UDART nadhani wangelifanyoa kazi haraka kutokana na ushahidi. .

Unoko unoko tu
 
Hili ungelifikisha kwenye ofisi za UDART nadhani wangelifanyoa kazi haraka kutokana na ushahidi. .

Unoko unoko tu
Wanajiibia wao wenyewe wanadhani wanamkomoa mwajiri wao siku hakishindwa kuwalipa mishahara wasilalamike iliwai tokea kipindi cha wale wafanyakazi wa max malipo walikua wanaiba sana matokeo yake mwajiri akashindwa kuwalipa mishahara baada ya kuwa anapata hasara.
 
Hili ungelifikisha kwenye ofisi za UDART nadhani wangelifanyoa kazi haraka kutokana na ushahidi. .

Unoko unoko tu
Mara ya pili hii, jana nlikuwa nawahi sehemu wakanipa tiketi inasoma saa 8 mchana wakati muda huo ni saa 3 kasoro usiku. Nimefika mbele kidogo ile kuisoma na kukuta hivyo, wakati nairudisha eti ananipanga kwamba huwa wanatoa tiketi nyingi na zinazobaki hawezi kuzitupa![emoji23][emoji23][emoji23] Nikamwambia weeeh nipe tiketi sahihi, mwamba kinyonge sana akanitolea kwenye mashine[emoji2]
 
Kama wahusika wakishindwa kuuboresha mfumo wao wa kulinda fedha isipotee, wataendelea kupigwa tu deile kama ngoma.
 
Mara ya pili hii, jana nlikuwa nawahi sehemu wakanipa tiketi inasoma saa 8 mchana wakati muda huo ni saa 3 kasoro usiku. Nimefika mbele kidogo ile kuisoma na kukuta hivyo, wakati nairudisha eti ananipanga kwamba huwa wanatoa tiketi nyingi na zinazobaki hawezi kuzitupa![emoji23][emoji23][emoji23] Nikamwambia weeeh nipe tiketi sahihi, mwamba kinyonge sana akanitolea kwenye mashine[emoji2]
Hivi UniqueMan na Unique Flower ni ndugu eeh? Maana wote wanaonekana ni kolofi mtaani 🙂 🙂 🙂
 
Ndo vile kusema kila mtu atakula kazini kwake! Akifanya kwa watu kumi 6500 inakuwa posho daily.
Ndiyo maana mradi wa BRT kukamilika labda tarumbeta ipigwe kama ngoma
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
We sio mzima kichwani bibie, unatetea wizi kisa bwanako yupo pale mwendokasi
Kilichotetewa hapo ni nini? Kuambiwa kuwa aende kutoa taarifa mwendokasi?

Kweli wewe kizazi Cha ovyo na nina de libolo unataka kulichezea? Naona unateseka Bure. .
 
Waibe tu maana hata sisi tubapigwa tu kwenye mikataba mibovu ....watu wanajimeagilia tu na kodi zetu
 
Mwarabu kakabidhiwa mradi kuanzia leo na kadi ndo zitatumika
 
Mwarabu kasema anataka kadi tu, alafu kitimoto hapakii
 
Back
Top Bottom