DOKEZO Angalizo usafiri wa Mwendokasi

DOKEZO Angalizo usafiri wa Mwendokasi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Piga kima hao ,we uliona wapi karne hii ya 21 bado watu wanatumia matiketi ya makaratasi kama enzi za mwalimu? hayo wanafanya kusudi ili waendelee kupiga hela , kila siku wanaulizwa mbona huo mfumo wao wa kukusanya nauli haukamili wanaruka ruka tu kama maharage yanayoiva jikoni, mika kibao mitiketi ya magumashi ya makaratasi hawaoni hata aibu , nakumbuka diblo dibala alifanyaga shambulio la aibu akamtumbua mtu pale udart sijui kama walishaweza kushughilika na hayo matiketi ya kwenye mandoo tangi kipindi kile, Ujima ujima bongo hakuna kinachoweza kwenda labda mkoloni arudi tena SHAME. Ingekua mtu binafsi ungeshangaa kesho tu kila mtui ana kadi yake na maisha yanakwenda haya mambo ya upigaji sijui yataisha lini
 
Back
Top Bottom