Angalizo: Usitaje jina lako halisi kwa Madanga ya Morogoro mjini

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Uko kuna wambulu aka wairaq wazuri kinoma sema ndo malaya hao maji mara moja, wauza baa na malaya waliojaa Arusha,pia kuna wambulu kibao, dah sema wazuri kinoma weupe,shape na nywele unaweza dhani wazungu[emoji3][emoji3]
Nashangaa njombe inaongoza kuunganisha watu kwenye grid ya taifa sio huku any reason why ?
 
Hamna tofauti kati ya wanaojiuza na wanaonunua wote shetani kawafunga vibaya sana ili mwisho wa siku apate wafuasi wa kufa nao. Unanunua danga 40,000 sadaka unatoa 1000 zaka unaiba hutoi halali unakosa ulinzi wa Mungu unaishia kuwa na tamaa na roho chafu. Kuna shida gani basi ukigongwa gari ukafa maana hauna ulinzi wa Mungu sbb ya dhambi za Babu na Baba zako kwa nn usihangaike kujinasua. Kuna tatizo gan ukilogwa ukafa tu maana huna tofauti na Mchawi. Maana yeyote aliye kinyume na Mungu ni mchawi na mabaya yote yakikupata utasema kazi ya Mungu haina makosa. Kazi gan wakati upo na shetani.

Sikia yupo Mwanaume mmoja tu. Jina lake Yesu anawatoa watu kwenye mbaga kama hizi. Kama unasali na upo hivyo jua tu bado hujampata na unaliwa hata hizo 1000-2000 unazotoa ukidhan unamtolea Mungu kumbe mapepo. Tamani kukutana nae
 
Makubwa🤔🤔🤔
 
Haleluyaaaa
 
[emoji3][emoji3][emoji3]kumbe jina lina impact kubwa kias icho
 
Sio kama mizimu ilikataa bali inawezekana alicheck jina lilolosajiliwa kwenye namba yako akakuta tofauti
 
Wanaonunua malaya watakuwa na matatizo ya AFYA YA AKILI...Siyo bure! Wanatakiwa wasaidiwe tiba sahihi ya afya ya akili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…