#COVID19 Angekubali Chanjo na kuchukua tahadhari mapema, mpaka leo huenda tungekuwa naye

Wewe uwezo wako wa kupambunua mambo umekufikisha kwenye hitimisho lipi?
Bado sijachanja. Sijafikia bado hitimisho kuhusu chanjo na samia na jpm wana mtazamo tofauti kuhusu covid
 
Wiki iliyopita, tumezika wazee mashuhuli wawili hapa mtaani kwetu. Walikua wamepata Chanjo ya UVIKO-19, lakini walifariki kwa dalili za Ugonjwa huo.
Funzo: Mungu ndiye anayejua nani atakufa kwa sababu ya nini na lini.
Tumshukuru Mungu kwa yote.
 
Bado sijachanja. Sijafikia bado hitimisho kuhusu chanjo na samia na jpm wana mtazamo tofauti kuhusu covid
Utofauti wa mitazamo yao imeleta impact gani.

Kumbe hujachanja? Sasa una utofauti gani na Magu.?
 
Wakulaumiwa ni yule aliyekuwa Katibu mkuu Afya na daktari wake binafsi kwa kuacha kumwambia ukweli
Ulikuwa upumbavu mkubwa kumuacha mtu mwenye tatizo la moyo ajichanganye na wahanga wa covid 19 hata baada ya Kijazi na walio karibu naye kufariki kwa kinacho aminika ni Uviko
 
Lipo jambo la kujifunza, Mungu ni Mkuu wa wakuu wote full stop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…