Angekuwa amesema wa chama kingine au mwananchi wa kawaida angepewa kesi ya uhaini au uchochezi, Mwenyekiti UVCCM Kagera amechukuliwa hatua gani?

UVCCM ina vijana wa hovyo wasio na uwezo wa kujenga hoja, wao ni matusi na vitisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…