Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hizo jerojero zinamtosha Joyce mpelekeeni.Sasa kwanini hamjengi mkamaliza, au Kuna mtu , alitundanganya kama hatujajenga Kwa mkopo tumejenga Kwa pesa zetu, Sasa tuwaige was join the chain tuzame mfukoni mradi ukamilike, hata jero jero tunapata fungu.
hata morogoro road imekuwa postponed mara mbili wakati wake..mbona sgr kipande cha Dar to Moro kilimshinda kumaliza?
Mbona sgr Dar to Moro ilimshinda??Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.
Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.
Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Basi karibu u join the chain🤔Hizo jerojero zinamtosha Joyce mpelekeeni.
Angekuwepo , saa hizi wewe ungekuwa Segerea kwa kesi ya uhujumu uchumiHayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma...
Sasa acheni kulalama, miradi mingine ni mizito na tulihitaji kuifanya ila namna tuliyoifanya Kwa pamoja ndio changamoto yetu. Kumbuka wakati Fulani tulisitisha mipango mingine yote na kuelekeza nguvu pamoja. Jambo lililokuwa Moja ya njia ngumu na mbaya tuliyokuwa tumeichagua . Hivyo Kwa Sasa ni muda wakuichukua njia uliyo sahihi na sii muda wa kulaumiana🤔.Unafikiria hayo mabakuli ya join the chain yanaweza kujenga bwawa la Nyerere? Hizo zinamtosha mwenyekiti na saccos yake tuu .
Hata bwawa la Nyerere tatizo ni mkandarasiSio kweli, mkandarasi ndio alikuwa analalamika juu ya milima na hali ya hewa kumchelewesha.
Mimi hata shule sijaenda Niko zangu huku kazuramimba na chunga mee, moo na kondoo. Pesa kama zipo Sasa shida Iko wapi🤔We bwege umeenda shule? Pesa hazipo kwa ajili ya mradi?
Ndo maana tulikuwa tunawaambia inabidi kuwepo na vipaumbele vya taifa mkawa mnabisha. Na kwa akili zenu hizo za kushikiwa mtaendelea kulia lia kila siku. Kwenye swala la umeme mkwele alisema gas ingemaliza kila kitu, akaondoka mpaka leo umeme tatizo, kaingia huyo mungu wako nae akarukia bwawa nae wale wale akashika mambo mengiii mwisho wa siku kaondoka hajamaliza yote.Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.
Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.
Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Sasa kwanini hamjengi mkamaliza, au Kuna mtu , alitundanganya kama hatujajenga Kwa mkopo tumejenga Kwa pesa zetu, Sasa tuwaige was join the chain tuzame mfukoni mradi ukamilike, hata jero jero tunapata fungu.
Maza yupo busy na royal tourHayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.
Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.
Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Hapa kwanza tujue shida ilipo, kama tutakuwa tunakalamika bila kujua chanzo Cha tatizo , hiyo nayo ni shida nyingine🤔Kwa hiyo wewe uko upande upi, wetu tunaotaka ujenzi wa bwawa ukamilike, au upande wa mhujumu januari? Labda tuelewane hapo kwanza
Kila mtu anataka kupiga pesa ndefuNdo maana tulikuwa tunawaambia inabidi kuwepo na vipaumbele vya taifa mkawa mnabisha. Na kwa akili zenu hizo za kushikiwa mtaendelea kulia lia kila siku. Kwenye swala la umeme mkwele alisema gas ingemaliza kila kitu, akaondoka mpaka leo umeme tatizo, kaingia huyo mungu wako nae akarukia bwawa nae wale wale akashika mambo mengiii mwisho wa siku kaondoka hajamaliza yote.
Chairman kasha kuambia yeye hana shida na mapesa kwani alishajaaliwa tangu zamani, Wala hayataki mavyeo ila kurejesha Kwa jamii zaidi kama anavyofanya rafiki yangu Paschal a. k. a P. ⛹️Unafikiria hayo mabakuli ya join the chain yanaweza kujenga bwawa la Nyerere? Hizo zinamtosha mwenyekiti na saccos yake tuu .