Saivi ni mwendo wa vitengeHayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.
Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.
Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Nakumbuka kipande cha Gold Star pale walifukuzwa ma engineer pale cos yale mabams yakule juu yalitoa ufa ivo pakavunjwa pakarudiwa upya.
Kimsingi Magu alikuwa mtendaji hakuwa mwanasiasa mzuri, alikuwa mtu kazi suala la % kwa ile reli sehemu kubwa zilikuwa zimekamilika kwakweli ila sehemu muhimu zilikuwa bado na ata hivo fedha za ujenzi alikuwa anakamua kwenye bajeti ya ndani na ndiyo maana phase 1 imechelewa mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukatili dhidi ya nani mkuu?..alikuwa mchapakazi.
..tatizo lake lilikuwa ubaguzi na ukatili.
..mtu asiyekuwa na ubinadamu hastahili nafasi ya uongozi.
Taja hiyo milima maana hicho kipande nakijua chote.. Wale waturuki kiwanja Chao weekend ilikuwa pale Samaki Samaki, walipokuwa na pesa tulijua na pesa ilipokata tulijua kwa sababu mbona wanasema??Sio kweli, mkandarasi ndio alikuwa analalamika juu ya milima na hali ya hewa kumchelewesha.
Acheni kumuonea kamati imesema mambo Safi...Simpo: mhujumu januari aondoke ndo tunaweza kuchanga; na januari akiondoka wala hatutahitaji kuchanga!
There's new sheriff in town, get used to it or get lost.Hayati JPM alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa manufaa ya umma.
Kwa manufaa ya umma na watu wa chini na wanyonge lazima angekomaa na bwawa la JNHP kukamilika ili watanzania wapate umeme wa bei rahisi na wa uhakika.
Watanzania tusitarajie huu mradi kukamilika mwaka huu kama ilivyotarajiwa maana sasa ngonjera ni nyingi...
Kwani wakati fisadi Kikwete anasaini mikataba ya ovyo kamati hazikusema mambo ni safi?Acheni kumuonea kamati imesema mambo Safi... View attachment 2143844
Mungu anajua sana...Huu ndio ukweli uliofichwa kwa nguvu zote, vyombo vya habari vilidhitiwa, watu walitekwa, watu walibambikiwa kesi, uchaguzi uliporwa ili kuzuia ukweli huu kuwa wazi kwa umma. Na iwapo Mungu asingetenda yake tarehe 17 marchi 2021, saa hii hali ingekuwa mbaya zaidi.
Hana cha kujibu hapo zaidi ya matusi, manake ndicho pekee anachokijua!!Mbona SGR Sar -Morogoro ilitangazwa kiwa itakamilika Niv 2019 lakini hadi anafariki mwaka mmoja baadae ilikuwa haijakamilika?
Azitolee wapi! Labda kama data za matusi!..unazo data zozote za kupinga alichoandika Chige?
Nimekuuliza:-Nimekuambia nitakusugua mpaka ukojoe, we nishobokee.
JPM hakuwa Mtendaji mzuri bali alikuwa a good administrator.Nakumbuka kipande cha Gold Star pale walifukuzwa ma engineer pale cos yale mabams yakule juu yalitoa ufa ivo pakavunjwa pakarudiwa upya.
Kimsingi Magu alikuwa mtendaji hakuwa mwanasiasa mzuri, alikuwa mtu kazi suala la % kwa ile reli sehemu kubwa zilikuwa zimekamilika kwakweli ila sehemu muhimu zilikuwa bado na ata hivo fedha za ujenzi alikuwa anakamua kwenye bajeti ya ndani na ndiyo maana phase 1 imechelewa mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Hastahili kuishi...tatizo lake lilikuwa ubaguzi na ukatili.
..mtu asiyekuwa na ubinadamu hastahili nafasi ya uongozi.
Tatizo Mjomba Magu kuna wakati alikosa ubunifu wa wakutumia wataalamu.hata Mto Kagera ungeweza kuzalisha umeme mwingi na nafuu kama ilivyo Hudson River ya New York Marekani kwa kutumia Current ya maji ya mto.Akaishia kukalili eti baba wa taifa alitaka hivi........hata mimi kandarasi toka Egypt alinipa wasiwasi.
..pia naona Jpm aliweka " mayai yote kwenye kapu moja. "
..nilidhani busara ni kujenga miradi ya medium size ambayo in total ingekupa megawatts sawa na zinazozalishwa na mradi mmoja mkubwa.
..advantage ya miradi ambayo ni medium size ingekuwa ni uharaka wa kukamilisha ujenzi na kuingiza umeme ktk gridi ya taifa.
Mambo yanakwenda mrama kila kitu kimevurugika